Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,804
- 12,239
- Thread starter
- #21
Oh!!! Lord have mercy!!!nimejihisi vibayaa....je hakuwahi kuongezewa damu pengine siku za nyuma???poleni mnooo aiseee!!!
Hakuwahi kuongezewa damu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh!!! Lord have mercy!!!nimejihisi vibayaa....je hakuwahi kuongezewa damu pengine siku za nyuma???poleni mnooo aiseee!!!
Pole sana mkuu ila nina wasi wasi kwenye majibu kama aliwai kufanya mapenzi au lah...
Watoto wa siku hizi wana ingia kwenye ngono mapema sana.....
Huyo ni wazi aliupata kwa ngono.....
Mpeleke aka anzishiwe dawa mapema japo kama alichelewa....
Kwanza nikupe pole lakini pia usiumie Mungu ndiyo mwamzi.Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Mpuuzi Kama huyu anastahili Life BanKwako!
Umenikumbusha jambo baya sana, Siku ka binti kangu nilikakuta kanachezea surgical/examination gloves! Nilijisikia vibaya sana tena alikuwa anapuliza kama puto!Watoto wetu wanapitia mengi sana huko kwenye mashule na wawapo michezoni... nakumbuka siku za nyuma nilimkuta mtoto akichezea Condom tena imetumika walidhani puto maskini anapuliza, nikamnyang'anya...Dah! Pole sana mkuu
Pole sana mkuu.Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.