Mwanangu mpendwa aliyekuwa kasalia naye mikononi mwa wasiojulikana.

MLA PANYA SWANGA

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
5,159
5,399
Nina huzuni tele moyoni mwangu kuwa yule mwanangu mpendwa aliyekuwa kasalia kwa kuwa wenzake wote waliinamishwa naye kawekwa mtu kati kwani kachachamaa kufukia barua za watu kwa kuwa eti hazina korasi nzuri ya kumsifia faraoh.
Jamani chondechonde mwanangu heshima yako imevuka malengo kwa pharaoh inatosha.
Kwa sasa mpango wako wa kujenga nyumba hii kuwa itakuwa ni mafichamio kwa wote walionyaswa huko waishi kwenye nyumba hii si salama tena maana matukio tunayoyaona ktk nyumba hii yanatia hofu na nina imani wazi kuwa kwa sasa hata wewe mjenzi wa nyumba hii nzuri ungejua chumba cha kutunzia sururu yawezekana ungeshiriki kuwasaidia wafilisti kuwakamata wafuasi wa yule paroko wasiojua kuitikia korasi ya pilato.
Basi mimi nipo tayari kuondoka ktk nyumba hii muda na wakati wowote ila naapa sipo tayari kuimba zile korasi na pambio za makaburini ili niwe huru kwenye nyumba hii daima nitasema ukweli mwanangu umebadilika kwa kiwango cha 4g.
 
Nanikweli ndo alikuwa mwanao mpendwa alobakia, wengine wote walioza kitambo.
sa sijui uweke imani kwa yupi tena maana huyu kashapoteza dira.
Hongera kwa uzamaji wako mkubwa kwenye ziwa lenye kina kirefu mithili ya ziwa Tanganyika. Kweli hili ni jukwaa la magreat thank you teacher we are sitting down mkuu.
 
Nina huzuni tele moyoni mwangu kuwa yule mwanangu mpendwa aliyekuwa kasalia kwa kuwa wenzake wote waliinamishwa naye kawekwa mtu kati kwani kachachamaa kufukia barua za watu kwa kuwa eti hazina korasi nzuri ya kumsifia faraoh.
Jamani chondechonde mwanangu heshima yako imevuka malengo kwa pharaoh inatosha.
Kwa sasa mpango wako wa kujenga nyumba hii kuwa itakuwa ni mafichamio kwa wote walionyaswa huko waishi kwenye nyumba hii si salama tena maana matukio tunayoyaona ktk nyumba hii yanatia hofu na nina imani wazi kuwa kwa sasa hata wewe mjenzi wa nyumba hii nzuri ungejua chumba cha kutunzia sururu yawezekana ungeshiriki kuwasaidia wafilisti kuwakamata wafuasi wa yule paroko wasiojua kuitikia korasi ya pilato.
Basi mimi nipo tayari kuondoka ktk nyumba hii muda na wakati wowote ila naapa sipo tayari kuimba zile korasi na pambio za makaburini ili niwe huru kwenye nyumba hii daima nitasema ukweli mwanangu umebadilika kwa kiwango cha 4g.
dunia imemfunza atakuwa kavunjika guu
 
Nashangaa sasa kila pambio inayoanzishwa humu kanisani ikishakuwa na kianzio kinachotaja jina la yule jamaa Been Saa Nena basi ukitaka kuiimba au kuitikia unaambiwa baba paroko ameifuta anzisheni nyingine.
Kweli mwanangu umewekwa kati.
 
Back
Top Bottom