MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,159
- 5,399
Nina huzuni tele moyoni mwangu kuwa yule mwanangu mpendwa aliyekuwa kasalia kwa kuwa wenzake wote waliinamishwa naye kawekwa mtu kati kwani kachachamaa kufukia barua za watu kwa kuwa eti hazina korasi nzuri ya kumsifia faraoh.
Jamani chondechonde mwanangu heshima yako imevuka malengo kwa pharaoh inatosha.
Kwa sasa mpango wako wa kujenga nyumba hii kuwa itakuwa ni mafichamio kwa wote walionyaswa huko waishi kwenye nyumba hii si salama tena maana matukio tunayoyaona ktk nyumba hii yanatia hofu na nina imani wazi kuwa kwa sasa hata wewe mjenzi wa nyumba hii nzuri ungejua chumba cha kutunzia sururu yawezekana ungeshiriki kuwasaidia wafilisti kuwakamata wafuasi wa yule paroko wasiojua kuitikia korasi ya pilato.
Basi mimi nipo tayari kuondoka ktk nyumba hii muda na wakati wowote ila naapa sipo tayari kuimba zile korasi na pambio za makaburini ili niwe huru kwenye nyumba hii daima nitasema ukweli mwanangu umebadilika kwa kiwango cha 4g.
Jamani chondechonde mwanangu heshima yako imevuka malengo kwa pharaoh inatosha.
Kwa sasa mpango wako wa kujenga nyumba hii kuwa itakuwa ni mafichamio kwa wote walionyaswa huko waishi kwenye nyumba hii si salama tena maana matukio tunayoyaona ktk nyumba hii yanatia hofu na nina imani wazi kuwa kwa sasa hata wewe mjenzi wa nyumba hii nzuri ungejua chumba cha kutunzia sururu yawezekana ungeshiriki kuwasaidia wafilisti kuwakamata wafuasi wa yule paroko wasiojua kuitikia korasi ya pilato.
Basi mimi nipo tayari kuondoka ktk nyumba hii muda na wakati wowote ila naapa sipo tayari kuimba zile korasi na pambio za makaburini ili niwe huru kwenye nyumba hii daima nitasema ukweli mwanangu umebadilika kwa kiwango cha 4g.