Mwanangu hapendi kula hata akila hawezi kutafuna na mara nyingi hutapika!

Elisha

JF-Expert Member
Feb 5, 2011
315
504
Habarini great thinkers!

Moja kwa moja kwenye uzi, nina mwanangu wa kike sasa ana miaka mitatu. Tatizo lake hapendi kula hata akila hawezi kutafuna na mara nyingi hutapika!

Tafadhali naomba mnisaidie namsaidiaje? Natamani kuona akila na kufurahia chakula.

Ahsanteni Sana!

Mungu awabariki!
 
Habarini great thinkers!

Moja kwa moja kwenye uzi, nina mwanangu wa kike sasa ana miaka mitatu. Tatizo lake hapendi kula hata akila hawezi kutafuna na mara nyingi hutapika...
Mpeleke hospitali akapimwe huenda ana minyoo tumboni inayo msababisha asipende kula.Pendelea kumpa kipande kidogo cha tangawizi mbichi awe anakitafuna na kukimeza kitamsaidia kupenda kula na tatizo la kutapika litamuondoka auguwe pole.
 
Mpeleke hospitali akapimwe huenda ana minyoo tumboni inayo msababisha asipende kula.Pendelea kumpa kipande kidogo cha tangawizi mbichi awe anakitafuna na kukimeza kitamsaidia kupenda kula na tatizo la kutapika litamuondoka auguwe pole.
kaka mimi nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nimeona uzi wako wa 2009 uliwaambia watu watumie mkojo wa asubuhi na wakapona je mimi ntapona kaka maana usiku silali hadi nashindwa kutembea na nikinywa nakunywa kwa siku ngapi kaka yangu
 
kaka mimi nasumbuliwa na vidonda vya tumbo nimeona uzi wako wa 2009 uliwaambia watu watumie mkojo wa asubuhi na wakapona je mimi ntapona kaka maana usiku silali hadi nashindwa kutembea na nikinywa nakunywa kwa siku ngapi kaka yangu
Mkuu pole kwa maradhi ya vidonda vyako vya tumbo. Ukitaka kutumia mkojo wako wa Asubuhi kutibu vidonda vyako vya Tumbo fanya hivi kwanza. Nenda asubuhi hospitali kabla ya kula au kunywa kitu kapime Mkojo wako sehemu ya maabara ili upate kujuwa je mkojo wako hauna maradhi yoyote? ukisha pima mkojo wako kuwa hauna maradhi yoyote yale siku ya pili yake asubuhi unapo amka kabla ya kula au kunywa kitu kinga mkojo wako kipimo cha glasi moja au kikombe 1 kisha kunywa ukisha kunywa kaa kwa muda wa saa moja pasipo kula au kunywa kitu. Baada ya saa moja kupita waweza kula au kunywa kitu fanya hivyo kila siku kwa muda wa siku 10. Kisha nenda kapime Vidonda vyako vya tumbo utakuta hauna tena. Ushauri mwengine Ukitaka nikutibie Vidonda vyako vya tumbo pasipo na kutumia mkojo wako nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguwa pole. Ukitumia mkojo wako usikose kuleta ushuhuda wako hapa kama umepona au hujapona.
 
Mkuu pole kwa maradhi ya vidonda vyako vya tumbo. Ukitaka kutumia mkojo wako wa Asubuhi kutibu vidonda vyako vya Tumbo fanya hivi kwanza. Nenda asubuhi hospitali kabla ya kula au kunywa kitu kapime Mkojo wako sehemu ya maabara ili upate kujuwa je mkojo wako hauna maradhi yoyote? ukisha pima mkojo wako kuwa hauna maradhi yoyote yale siku ya pili yake asubuhi unapo amka kabla ya kula au kunywa kitu kinga mkojo wako kipimo cha glasi moja au kikombe 1 kisha kunywa ukisha kunywa kaa kwa muda wa saa moja pasipo kula au kunywa kitu. Baada ya saa moja kupita waweza kula au kunywa kitu fanya hivyo kila siku kwa muda wa siku 10. Kisha nenda kapime Vidonda vyako vya tumbo utakuta hauna tena. Ushauri mwengine Ukitaka nikutibie Vidonda vyako vya tumbo pasipo na kutumia mkojo wako nitafute kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako uguwa pole. Ukitumia mkojo wako usikose kuleta ushuhuda wako hapa kama umepona au hujapona.
sawa kaka nigee no zako tuongee na kuhusu mkojo ni unywe wa njano au ule mweupe kaka? ngoja nikaupime ili nianze kama tiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom