Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Mcheki specialist mkuuNi makamasi mkuu sio mafua.
yani muda wote anayo tu, nikimpengesha yanatoka mazito sana.
anakuwa msafi nusu saa tu baada ya hapo ni tatizo.
Mcheki specialist mkuuNi makamasi mkuu sio mafua.
yani muda wote anayo tu, nikimpengesha yanatoka mazito sana.
anakuwa msafi nusu saa tu baada ya hapo ni tatizo.
Mkuu wengi wanasema eti yataisha yenyeweMcheki specialist mkuu
Mwone specialist kwanza..Mkuu wengi wanasema eti y
ataisha yenyewe
mafua yanayotoka ushukuru! hayana usumbufu a kupumua ndo maana yanatoka! naamini yataendelea kustop kadri sku zinavyoendaMi mwanangu ana miaka mitatu net.
lakini ana makamasi yanamtoka tu tena yale mazito mazito
nishatumia sana dawa za.maji lakini wapi
vipi nikiongeza na hii itaweza kukata?
dah! pole sana nduguNi makamasi mkuu sio mafua.
yani muda wote anayo tu, nikimpengesha yanatoka mazito sana.
anakuwa msafi nusu saa tu baada ya hapo ni tatizo.
Asante sana mkuu. Pia wakati mwingine anapumua kwa shida sana usiku, kama vile kukoroma yani napata shida sana nakosa amanimafua yanayotoka ushukuru! hayana usumbufu a kupumua ndo maana yanatoka! naamini yataendelea kustop kadri sku zinavyoenda
pole mkuu! hyo kesi wakuu waje wakusaidie ndugu! watoto ni changamoto mda mwngne, tuendelee kupambanaAsante sana mkuu. Pia wakati mwingine anapumua kwa shida sana usiku, kama vile kukoroma yani napata shida sana nakosa amani
shukrani mama ake anafanya hyo sku ya tatu sasa! na amepew nasal drop, angalau usku tunalalaHakikisha ndan pasafi hewa inazunguka. Mvalishe nguo ambazo haziingizi baridi bado ni mtoto mchanga. Mpaka mafuta ya nazi kichwan hasa kwenye utosi. Halafu unaweza mkanda na maji ya vuguvugu yenye chumvi. Ukamkanda puani
hosp tumeenda hakuwa na tatizo llte zaidi ya kufoka kwa mafua yasiyotoka! amepew tu nasal drop na mama yke huwa anamgusa gusa pua an vimaji vya uvuguKaandikiwa pneumonia au hujampelka hospitali kabisa
Fanyeni hivyo kila siku. Mara nyingi ndio tiba ya watoto wachanga. Overtime atakaa sawashukrani mama ake anafanya hyo sku ya tatu sasa! na amepew nasal drop, angalau usku tunalala
Ana muda gani toka apate tatizo hilo!? Anachemka mwili usku yan kutoka jasho!? Analia lia kama dalil ya kukosa raha!?hosp tumeenda hakuwa na tatizo llte zaidi ya kufoka kwa mafua yasiyotoka! amepew tu nasal drop na mama yke huwa anamgusa gusa pua an vimaji vya uvugu
DALILI ZA KUKOSA RAHA ANAZO, MDA MWINGNGNE ANATAMAN KUINGIZA HTA KIDOLE PUANI ! ILA NDO HAFIKII..! ANA MWEZI MMOJA TUU TANGU AZALIWE, TATZO LIMEANZA WIKI MOJA ALIPOZALIWA, HATOKI JASHO WALA HANA HOMAAna muda gani toka apate tatizo hilo!? Anachemka mwili usku yan kutoka jasho!? Analia lia kama dalil ya kukosa raha!?
SHUKRANI NDUGU KWA USHAURI! NDO ANATUMIA KWANZA HYO NASAL DROP..Ana allergy Mkuu huyo mtoto kama wangu tu yaan mtoto amenyimwa na Dr kutumia maziwa yeyote, samaki, karanga, mayai, asikae kwenye vumbi mlolongo ni mrefu. Nimejaribu kuacha hivyo vitu nimepumua maana kila baada siku moja tulikuwa tunaenda hospital.
Mpatie Normal saline drop hii ni maji na chumvi haina madhara, kikubwa ni kwenda kumpima allergy