Mwanangu amepata tatizo la kutokwa na uchafu ukeni

loupa

Senior Member
Jul 22, 2016
121
72
Habari za kazi.

Mwanangu amepata tatizo la kutokwa na uchafu ukeni hasa wakati wa usiku

Kila siku asubuhi anapoamka nikimkagua nakuta ametoa uchafu ukeni kwake kiasi cha kulowesha hadi chupi yake kidogo. Japo yeye halalamiki kupata maumivu ila mimi imenishtua sana.

Naomba wataalamu mnisaidie
  • Tatizo nini?
  • Inasababishwa na nini?
  • Nifanye nini kumrudisha mtoto katika hali yake?

Natanguliza shukrani kwa maoni yenu.

Ahsante,
 
Naomba kujua rangi, viscocity na odour ya huo uchafu. Pia ongeza na umri wake tafadhali na maisha yake (lifestyle) hapo mtaani ama shuleni.
Rangi yake ni nyeupe na unavutika.

Kuhusu lifestyle ni ya kawaida tu na anashirikiana na wenzie vizuri kucheza.
 
Rangi yake ni nyeupe na unavutika
Kuhusu lifestyle ni ya kawaida tu na anashirikiana na wenzie vizuri kucheza
Umri wake tafadhali? ila kwa maelezo yako ni ute wa kawaida sana kwa mwanamke hivyo ondoa hofu
 
Mkuu hilo ni tatizo dogo tu! Mwone daktari atapewa dawa na tatizo litaisha kabisa.

Wala usianze kufikiria lo lote kuhusu mtoto kana kwamba amefanyiwa cho chote bila kupata ushauri wa daktari.
 
Hujui kuwa kuna spitali?
Nyie ndio wachawi wakubwa humu mtu ameanza kuomba ushauri ili ajue anaanzia wapi sio kila hospitali ni nzuri huenda anaweza akapata mahali pazuri pa kuanzia.

Hata mimi niliwahipata injury mbaya sana ya jicho nikaanza kuomba ushauri hapa nlikuwa hata sijui hospitali nzuri huenda ningeanzia hosptali za vichochoroni ningeenda kupofuka kabisa kwa madawa yasioeleweka.

Ila wadau wakashusha nondo hapa niende eye hospitali ya waturuki na nikaenda nikapata matibabu ya kisasa na nikapona.

Msikejeli watu acheni washauriwe watajua pa kunzia wakishapata ushauri wa hospitali nzuri.
 
Nyie ndio wachawi wakubwa humu mtu ameanza kuomba ushauri ili ajue anaanzia wapi sio kila hospitali ni nzuri huenda anaweza akapata mahali pazuri pa kuanzia...
Ukiwa na tatizo la kiafya, pa kuanzia ni spitali.

Unampeleka mgonjwa, wataalamu wanamuangalia, wanampima, na wanakupa ushauri wa kitaalamu.

Mtu ana tatizo. Tatizo la kiafya. Badala ya kwenda kwenye kituo cha afya, anakuja JF!

Utaahira huo.
 
Pole San Kwanza mtot Ni mdgo San ndio maaan una wasiwasi mkubwa mno

Ingekuta Ni bint wa Mika 12 +++ hapo labd tuite Ni upefukaji huo ila kwa kesi hyo inakubid ucheki vzr Zaid kwa madaktari wa watoto
 
Habari za kazi

Mwanangu amepata tatizo la kutokwa na uchafu ukeni hasa wakatima wa usiku

Kila siku asubuhi anapoamka nikimkagua nakuta ametoa uchafu ukeni kwake kiasi cha kulowesha hadi chupi yake kidogo. Japo yeye halalamiki kupata maumivu ila mimi imenishtua sana.

Naomba wataalamu mnisaidie *Tatizo nini?
*Inasababishwa na nini?
*Nifanye nini kumrudisha mtoto katika hali yake?

Natanguliza shukrani kwa maoni yenu

Ahsante
Majani ya MWAROBAINI : Chemsha 1/4 kilo ya Majani ya Mwarobaini kwa maji lita mbili kwa dakika 15 kisha opoa jikoni, ukishaepua kiasi osha uke kwa maji hayo mara 2 kwa siku kwa muda wa wiki mbili.Kila siku tengeneza dawa mpya.Kisha lete mrejesho wako hapa.
 
Majani ya MWAROBAINI : Chemsha 1/4 kilo ya Majani ya Mwarobaini kwa maji lita mbili kwa dakika 15 kisha opoa jikoni, ukishaepua kiasi osha uke kwa maji hayo mara 2 kwa siku kwa muda wa wiki mbili.Kila siku tengeneza dawa mpya.Kisha lete mrejesho wako hapa.
Maji ya moto, uvuguvugu au yaliyopowa kabisa?
 
Majani ya MWAROBAINI : Chemsha 1/4 kilo ya Majani ya Mwarobaini kwa maji lita mbili kwa dakika 15 kisha opoa jikoni, ukishaepua kiasi osha uke kwa maji hayo mara 2 kwa siku kwa muda wa wiki mbili.Kila siku tengeneza dawa mpya.Kisha lete mrejesho wako hapa.
Maji
Ya moto
Ya baridi
Au vuguvugu
 
Back
Top Bottom