Nipo hapa mkuu
Sina la kusema mkuu, nilishasema yote nimeishia kupuuzwa tu mdau, kweli wanaume tumeumbwa matesoTia neno kidogo mkuu, nimekuita ghafla nilipoona 'dodo' limedondokea jirani hapa.
Sina la kusema mkuu, nilishasema yote nimeishia kupuuzwa tu mdau, kweli wanaume tumeumbwa mateso
Sawa mkuu, nimekuelewa, shukrani sana chiefKaza moyo Mzee, ukilia utakufuru.
Mi huwa najiuliza mnaishi chumba kimoja watoto, house girl,nk, hivi unambanduaje mamsap kwa Uhuru,mpaka uingie chunvini nk,sio rahisi,lazima atabanduliwa nje tu.
Ndiyo.Kwahiyo maisha yako ya chumba kimoja ukajua ni kwa wote!