Punguza husda utamuelewa ewe mvaa kobaziHuwa najitahidi sana na wakati mwingine hadi kujilazimisha kumuelewa Dr. Bana lakini Ubongo wangu unanikatalia kata kata!
Punguza husda utamuelewa ewe mvaa kobaziHuwa najitahidi sana na wakati mwingine hadi kujilazimisha kumuelewa Dr. Bana lakini Ubongo wangu unanikatalia kata kata!
Wasomi sio kwamba hawana faida tatizo wanafanya kile wasichotakiwa kufanyaHebu weka mifano ya watu wa sampuli hiyo walivyosaidia nchi tuwatazame ili tujue kama bado tunawahitaji kwenye jamii.
Mimi naanza na wa kwanza ni Dr Bana.