Mwananchi ungeambiwa kuchapa kiongozi kiboko, ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!

Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.

Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa provocation, wengine hufanya hivyo waonekane miamba, na wengine wameenda mbali mpaka wanaadhibu kwa push-ups watumishi jeshini kama Dkt Kigwangala nk.

SASA
Wewe mwananchi kama ungekuwa na mamlaka ya kuwachapa bakora viongozi au watawala ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

= Ungemchapa kiongozi kwa kuwa ameshindwa kukufikishia maji kijijini?

= Ungemchapa kwa kuwa ameshindwa kuwa mbunifu wa vyanzo vya mapato ya Halmashauri / Wilaya?

= Ungemchapa kwa kuwa kijana wako kakosa mikopo ya elimu ya juu?

= Ungemchapa yupi sababu ya vijana wetu kukosa ajira katika vijiji, kata na wilaya?

Mwisho, nashauri viongozi wauweke pembeni utamaduni wa kuwachapa watu bakora na baada yake wajielekeze kwenye Sheria.

******** **********
Nimegundua kuwa wengi wetu hatuna sababu mahususi za kulaumu wale wanaochapa bakora - lkn pia wengi wetu tunasukumwa na kasumba ya visasi - kwa nini umcharaze mwenzako bakora?
Wazo ni zuri ila kwa jinsi tulivyo furugwa huu ni uchochezi
 
Ningemchapa huyu jamaa anaedhalilisha nchi yangu Tanzania!
5532890.jpg
 
Mie sitomchapa mtu ILA ningeomba kuwapiga kwa short ya umeme vijana wote wa 'lumumba' huenda baada ya hapo akili zao zitakuwa na akili kwani vichwa vyao ni vizito mno mno.
Hahahaha pimbi mkubwa, dua la kuku. Mpigie kura Dkt Magufuli ALM
 
Unamaanisha kiboko gani mkuu? Mimi kama ni kile kiboko laini ningemchapa nacho Isabela Chilumba DC wa Nyasa!
 
Ningeomba niletewe M7 na Kabila niwacharaze mboko za moto moto kwanza halafu watajua kwanini nimewacharaza.
 
Ningemlamba mwenyekiti wangu wa kitongoji baada ya kumchagua ye amekitelekeza kitongoji na kwenda kuolewa Kijiji Cha pili
 
Mwingine ningemchapa Uhuru Kenyatta,

Tofauti yangu na nyie hao nitakaowachapa viboko mimi lazima wavue nguo zote.
 
Wazo ni zuri ila kwa jinsi tulivyo furugwa huu ni uchochezi
Itategemea mtu katafsiri vipi - kufahamu mawazo ya watu ni ushindi kwako mtawala - hata hivyo humu sioni hoja za watu kukosa elimu, maji, umeme, barabara, afya nk

That means ktk eneo hilo Serikali imefanya kazi nzuri - sasa ktk maeneo mbalimbali ya kiutawala wahusika wajitizame ili wajue hisia za wanaowangoza

Lkn pia mtindo wa watawala kupiga bakora raia uishe, ukomeshwe kwa kuwa zipo mamlaka zimepewa meno ya kisheria kutoa adhabu kwa mharifu. Vinginevyo kitambo tutashuhudia provocation kama ilivyotokea miaka ile kwa Kreruu vs mkulima
 
Wanabodi, Heri ya mwaka mpya wa 2021!

Nimekaa kwa muda nikitafakali, kujiuliza na kutafuta majawabu kuhusu mienendo ya viongozi kuwachapa bakora wananchi kufuatia tuhuma mbalimbali dhidi ya wachapwaji.

Huenda viongozi hao wana sababu za msingi au hawana - wengine huwachapa bakora wakosaji kwa provocation, wengine hufanya hivyo waonekane miamba, na wengine wameenda mbali mpaka wanaadhibu kwa push-ups watumishi jeshini kama Dkt Kigwangala nk.

SASA
Wewe mwananchi kama ungekuwa na mamlaka ya kuwachapa bakora viongozi au watawala ungemchapa nani na kwa sababu zipi?

= Ungemchapa kiongozi kwa kuwa ameshindwa kukufikishia maji kijijini?

= Ungemchapa kwa kuwa ameshindwa kuwa mbunifu wa vyanzo vya mapato ya Halmashauri / Wilaya?

= Ungemchapa kwa kuwa kijana wako kakosa mikopo ya elimu ya juu?

= Ungemchapa yupi sababu ya vijana wetu kukosa ajira katika vijiji, kata na wilaya?

Mwisho, nashauri viongozi wauweke pembeni utamaduni wa kuwachapa watu bakora na baada yake wajielekeze kwenye Sheria.

******** **********
Nimegundua kuwa wengi wetu hatuna sababu mahususi za kulaumu wale wanaochapa bakora - lkn pia wengi wetu tunasukumwa na kasumba ya visasi - kwa nini umcharaze mwenzako
 
Back
Top Bottom