Mtu na akili zako timamu, huwezi kufikiria kuwa Rais aliye madarakani na ambaye bado katiba inamruhusu na yeye anapenda kugombea awamu ijayo akubali mchakato wa katiba mpya itakayomuondolea baadhi ya madaraka, itakayoruhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, itakayoruhusu kumshitaki kwa makosa aliyoyafanya akiwa Rais, asitumie Airbus kwenda Morogoro akitoka Dar etc. Utakuwa ni mwendawazimu tuThursday August 19 2021
Na Daniel Mjema
Vuguvugu la madai ya Katiba mpya limeanza kushika kasi, lakini katikati ya vuguvugu hilo kumejitokeza kundi ambalo linajaribu kuuaminisha umma kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeihitaji isipokuwa ni wanasiasa...