SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Umeua Baba.CCM kwa wizi ni marafiki kama mavi na nzi!
Umeua Baba.CCM kwa wizi ni marafiki kama mavi na nzi!
🤣🤣🤣 Halafu watasingizia majambazi hewa na kuwafungulia mashtaka ambayo kamwe hukumu hatutaisikia!Umeua Baba.
Hili wangeliweza akina Sheikh Kiumbwa na wenzakeWanagenzi nijuzeni tofauti kati ya kuibiwa , kuibwa na kutoweka.
Asanteni.
Sasa huko plants wanapigwa na nani?Samahani wakuu hapa watakaonielewa ni watu wa hii fani:
Enzi za JPM hadi mchimbaji mdogo alikuwa na uwezo wa kwenda kuchenjua dhahabu yake mwenyewe kwenye "plant" na kuuza mwenyewe sokoni. Maskini leo hii ninapoandika hapa kila mchimbaji anayejaribu kupeleka "rudio" lake plant anaambulia kupigwa, wamekata tamaa mitaji imekata kwa muda mfupi tangu Mzee afariki. Wachimbaji tunajiuliza JPM aliwezaje kuleta neema kwetu na sasa neema hiyo inatoweka ghafla? Ngoja tuone hadi mwisho wa sinema hizi nini kitatokea. Sitaki kuzungumzia magendo ya madini yetu maana nami nimeshawishika kuingia humo, hakuna anayejali!
Hivi issue ya Mafuta Kigamboni inaendelea vipi !?Hiyo issue naijua na hilo gazeti limeandika heading ya kimkakati wa masoko zaidi kuvutia wanunuzi lakini kihalisia wahusika waliokamatwa wala sio vigogo ni visisimizi tu.
Hiyo mimi sifahamu mkuu.Hivi issue ya Mafuta Kigamboni inaendelea vipi !?
Huwa tunafanya makosa makubwa kwa kusema kwa mfano dhahabu imeibiwa; ukisema imeibiwa una maana dhahabu ilikuwa na kitu ambacho kimeibwa! Usahihi ni kusema dhahabu imeibwa. Mtu akiwa na dhahabu na ikachukuliwa bila ridhaa yake na bila kufahamu akagundua baadaye kwa dhahabu yake haipo basi tutasema mtu ameibiwa dhahabu na siyo dhahabu imeibiwa!Kuibiwa ni hali ya mtu kuchukua Mali ya mwingine bila idhini yake lakini kuibwa ni mtu moja kumchukua mwingine kwa nia ya kumteka.
Kutoweka ni hali ya kitu au mtu kutokuonekana bila taarifa yoyote.