Mwananchi ajilipua kwa Mbunge

mwana wa mtemi

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
374
204
Katika hali isiyotarajiwa na Mbunge
Swali chokonozi la kutaka kujua fedha za Jimbo zimetumikaje Jimboni liliachwa kujibiwa na kukimbilia swali mboga.

Note: Wananchi wameamka wanahitaji uajibikaji kama ni maneno mengi yamesemwa.

Kwa takiribani chaguzi zote CCM inaibuka kidedea baada ya mwenyekiti Taifa kurejesha imani kwa wananchi.
 
Katika hali isiyotarajiwa na Mbunge
Swali chokonozi la kutaka kujua fedha za Jimbo zimetumikaje Jimboni liliachwa kujibiwa na kukimbilia swali mboga.

Note: Wananchi wameamka wanahitaji uajibikaji kama ni maneno mengi yamesemwa.

Kwa takiribani chaguzi zote CCM inaibuka kidedea baada ya mwenyekiti Taifa kurejesha imani kwa wananchi.
mimi sjaelewa tuliza mhemuko kabla hujaandika mada
 
Back
Top Bottom