Safi sana hiyo. Utukufu ni kwa BwanaWaymaker” By Sinach Crosses 100 Million Views On Youtube! .
Nigerian Gospel music icon, Sinach has crossed the 100 Million views mark on Youtube for the song “Waymaker”; a feat only 2 other Nigerian artistes (secular) have achieved.View attachment 1040981View attachment 1040983View attachment 1040983
Wakikujibu uni tagNI KAMA SHILINGI NGAPI HIVI ANAPATA HAPO....
600000usd hivi.NI KAMA SHILINGI NGAPI HIVI ANAPATA HAPO....
1m viewers = 20,000 USD600000usd hivi.
Coz 1mil viewers YouTube wanalipa 6000USD.
Sidhani kama ni sahihi mkuu,youtube hawana kiwango kamili cha hela kutokana na views fulani,unaweza ukawa umepiga views kibao na hela ikawa chini,na hii ni kutokana na watazamaji walioangalia video yako wanatoka nchi gani.Mfano mtazamaji wa tanzania akiangalia video na akaona tangazo aka SKIP unapata $0.90 wakati akiangalia toka kenya unapata $1.54 na akiangalia mtu toka australia unapata $6....hivyo hela unayopata inategemea sana trafik yako inatoka nchi gani na urefu wa video yako ambapo ikiwa ndefu inaweza ruhusu Matangazo mengi zaidi yawepo na kukupa fedha zaidi.unless huyu mwenye video awe ameingia mkataba na kampuni nyingine ambayo itaweka tangazo kwenye wimbo.1m viewers = 20,000 USD
Asante mkuu kwa Elimu hiiSidhani kama ni sahihi mkuu,youtube hawana kiwango kamili cha hela kutokana na views fulani,unaweza ukawa umepiga views kibao na hela ikawa chini,na hii ni kutokana na watazamaji walioangalia video yako wanatoka nchi gani.Mfano mtazamaji wa tanzania akiangalia video na akaona tangazo aka SKIP unapata $0.90 wakati akiangalia toka kenya unapata $1.54 na akiangalia mtu toka australia unapata $6....hivyo hela unayopata inategemea sana trafik yako inatoka nchi gani na urefu wa video yako ambapo ikiwa ndefu inaweza ruhusu Matangazo mengi zaidi yawepo na kukupa fedha zaidi.unless huyu mwenye video awe ameingia mkataba na kampuni nyingine ambayo itaweka tangazo kwenye wimbo.
Nimefanya youtube 3years na hiyo ndio experience yangu.
-Anko JeiView attachment 1041331View attachment 1041332
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ni sahihi mkuu,youtube hawana kiwango kamili cha hela kutokana na views fulani,unaweza ukawa umepiga views kibao na hela ikawa chini,na hii ni kutokana na watazamaji walioangalia video yako wanatoka nchi gani.Mfano mtazamaji wa tanzania akiangalia video na akaona tangazo aka SKIP unapata $0.90 wakati akiangalia toka kenya unapata $1.54 na akiangalia mtu toka australia unapata $6....hivyo hela unayopata inategemea sana trafik yako inatoka nchi gani na urefu wa video yako ambapo ikiwa ndefu inaweza ruhusu Matangazo mengi zaidi yawepo na kukupa fedha zaidi.unless huyu mwenye video awe ameingia mkataba na kampuni nyingine ambayo itaweka tangazo kwenye wimbo.
Nimefanya youtube 3years na hiyo ndio experience yangu.
-Anko JeiView attachment 1041331View attachment 1041332
Sent using Jamii Forums mobile app
You're totally wrong,soma jamaa kaandika nini...Nahisi kuna mahali umekosea. Kama ni kweli unachosema maana yake msanii kama Diamond ambaye huwa anafikisha mpaka view milioni 7, maana yake anapata roughly dola milioni 6. Kwa hiyo kwa nyimbo mbili tu ana mkwanja dola milioni 12!
Sasa kama huyo ni Diamond, je wasanii wa Marekani wanaofikisha view milioni 50 kwa kila wimbo maana yake Mtu kama Rihanna kwa nyimbo kumi tu ana Usd. Milioni mia tano! Maelezo yako yana walakini.
Kidogo nachofahamu ni kuwa ili ulipwe kila mtazamaji lazima aangalie ads angalau kwa dakika 20. Na unalipwa dola moja per 1000 views.
Sent using Jamii Forums mobile app