Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
MAFUMU BILAL HATUNAYE TENA
Gwiji wa Saxophone na mwimbaji mkongwe wa muziki wa dansi hapa nchini, Mafumu Bilal Bombenga amefariki dunia usiku huu.
Mafumu aliyetamba na bendi kadhaa zikiwemo Maquis, MK Group, Bicco Stars, Bima Lee, African Stars na African Beats, amefariki baada ya kuzidiwa ghafla jioni ya leo.
Mke wa Mafumu amethibitishia kifo chake na kusema kuwa mumewe amefariki na kwamba hali yake ilibadilika ghafla jioni ya leo na kuaga dunia muda mfupi baadae.
Mafumu alikuwa akisumbuliwa na sukari kwa muda mrefu hali iliyopelekea kukatwa kwa mguu wake wa kushoto.
Mafumu amewahi kueleza kuwa alijifunza Saxophone 1972 JKT Makutupora kwenye Brass Band yao
Moja ya nyimbo ambazo zilikuwa na ufundi wa Mafumu
Gwiji wa Saxophone na mwimbaji mkongwe wa muziki wa dansi hapa nchini, Mafumu Bilal Bombenga amefariki dunia usiku huu.
Mafumu aliyetamba na bendi kadhaa zikiwemo Maquis, MK Group, Bicco Stars, Bima Lee, African Stars na African Beats, amefariki baada ya kuzidiwa ghafla jioni ya leo.
Mke wa Mafumu amethibitishia kifo chake na kusema kuwa mumewe amefariki na kwamba hali yake ilibadilika ghafla jioni ya leo na kuaga dunia muda mfupi baadae.
Mafumu alikuwa akisumbuliwa na sukari kwa muda mrefu hali iliyopelekea kukatwa kwa mguu wake wa kushoto.
Mafumu amewahi kueleza kuwa alijifunza Saxophone 1972 JKT Makutupora kwenye Brass Band yao
Moja ya nyimbo ambazo zilikuwa na ufundi wa Mafumu