Mwanamuziki George Michael (53) amefariki dunia

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,396

George Michael

George Michael mmoja wa wanamuziki maarufu duniani amefariki dunia leo nyumbani kwake.

Kwa mujibu wa meneja wake ambae ametoa taarifa mapema jumatatu asubuhi ya saa 7 kwamba George amefariki kwa moyo kusimama au "heart failure".

Familia ya George imeomba kuheshimiwa kwa faragha yao.

George Michael alizaliwa akiitwa Georgios Kyriacos Panayiotou katika kitongoji kijulikanacho kwa jina la Finchley, kaskazini mwa jiji la London, nchini Uingereza.

George alishiriki kuimba katika kundi la Band Aid kwenye kibao kiitwacho 'Do They Know It's Christmas' (1984), na baadae kushuka na vibao vingine vikali vya 'Careless Whisper' na kingine cha 'A Different Corner'.

Mwaka 2002 alitunga muziki uloitwa Shoot the Dog ambao katika video yake alikuwa akiwakebehi Tony Blair Cherie Blair na George Bush.

George ameuza zaidi za santuri milioni 100 katika maisha yake yote ya muziki katika uhai wake ulosambaa ndani ya miongo minne.

Katika miaka ya hivi karibuni George alikuwa akikabiliwa na matatizo ya ulevi wa madawa ya kulevya na pombe.
 
Muziki wako utaendelea kuishi milele. Rest in Peace George Michael
Tonight the music seems so loud
I wish that we could lose this crowd
Maybe it's better this way
We'd hurt each other with the things we want to say
We could have been so good together
We could have lived this dance forever
But now who's gonna dance with me
Please stay

[Chorus]

Now that you've gone
Now that you've gone
Now that you've gone
Was what I did so wrong
So wrong that you had to leave me alone?
 
Kumbe ni ex-Wham. And this was indeed his last Xmas.



Mkuu, Merry Xmas.

Hiki kibao kiliuzwa sana miaka ya themanini.

Halafu katika santuri yako hawa Wham iloitwa make It Big kuna kibao kingine kikali humo chaitwa "Wake Me Up Before You Go-Go".
 
  • Thanks
Reactions: kui
Wanamuziki maarufu walotangulia mbele ya haki kwa mwaka 2016


14EF16D400000514-4064028-image-a-3_1482601607170.jpg


David Bowie alifariki akiwa na miaka 67 mwezi Januari 2016 (picha na Press Association)

04AA5FE10000044D-4064028-image-a-5_1482601757446.jpg

Prince alifariki terehe 21 April Mwaka 2016 (picha na Associate Press)

Kitu kimoja muhimu katika vifo vya wanamuziki hawa ukiondoa David Bowie ambe alikuwa na anasumbuliwa na saratani, ni usiri mkubwa katika kutangaza umauti wa hawa wawili na haisemwi mapema nini chanzo cha vifo vyao.
 
(CNN)
British pop star George Michael has died, according to Britain's Press Association (PA) news agency. The musician, who shot to fame with the 1980s duo Wham!, was 53 years old.
Michael later went on to have a successful solo career.
PA quoted a statement from Michael's publicist that said: "It is with great sadness that we can confirm our beloved son, brother and friend George passed away peacefully at home over the Christmas period."
Wham! scored big with hits such as "Wake Me Up Before You Go-Go" and "Careless Whisper." His 1987 debut album "Faith" sold more than 10 million copies.
In 1998, Michael told CNN in an exclusive interview that he was gay.

Read More
"This is as good of a time as any," he told CNN's Jim Moret then. "I want to say that I have no problem with people knowing that I'm in a relationship with a man right now. I have not been in a relationship with a woman for almost 10 years."

Michael's comments came shortly after he was booked for an investigation of misdemeanor lewd conduct and released on $500 bail. The singer was alone in the restroom of a Beverly Hills park when an undercover officer saw him allegedly commit the act.
Michael, whose real name is Georgios Kyriacos Panayiotou, apologized to his fans for the alleged incident. He said he hoped they would stand by him.

"I don't feel any shame. I feel stupid and I feel reckless and weak for having allowed my sexuality to be exposed this way. But I don't feel any shame whatsoever," Michael said.


George Michael

George Michael mmoja wa wanamuziki maarufu duniani amefariki dunia leo nyumbani kwake.

Familia ya George imeomba kuheshimiwa kwa faragha yao.

George Michael alizaliwa akiitwa Georgios Kyriacos Panayiotou katika kitongoji kijulikanacho kwa jina la Finchley, kaskazini mwa jiji la London, nchini Uingereza.

George alishiriki kuimba katika kundi la Band Aid kwenye kibao kiitwacho 'Do They Know It's Christmas' (1984), na baadae kushuka na vibao vingine vikali vya 'Careless Whisper' na kingine cha 'A Different Corner'.

Mwaka 2002 alitunga muziki uloitwa Shoot the Dog ambao katika video yake alikuwa akiwakebehi Tony Blair Cherie Blair na George Bush.

George ameuza Zaidi za santuri milioni 100 katika maisha yake yote ya muziki katika uahi wake ulosambaa ndani ya miongo mine.

Katika miaka ya hivi karibuni George alikuwa akikabiliwa na matatizo ya ulevi wa madawa ya kulevya na pombe.

lakin chanzo halisi cha kifo chake hakijawekwa wazi na mtoa habari wake.
 
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

Though George Michael has never claimed to be HIV positive, it seems that his reputation for promiscuous behavior and type of illness are contributing to speculation on the cause of his condition. ... Its [sic] sad to hear that George Michael could have AIDS. Pneumonia is a common trait of the HIV virus.Nov 26, 2011

Source: George Michael Pneumonia Hospitalization Prompts HIV Speculation
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom