VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mmoja wa wanamsafara wa Sekretarieti mpya ya CCM iliyo ziarani mikoani,amefunguka. Mwanamsafara huyo ambaye anatokea upande wa Zanzibar kuingia kwenye Sekretarieti,amesema kuwa sera ya kuzunguka imeshindwa mapema. ' Hakuna mafanikio. Hali ni ngumu. Ndio kwanza tumeacha ugomvi nyuma yetu. Wanachama wanahoji iweje shughuli za chama zimilikiwe na viongozi wa Serikali?' alisema . ' Nadhani mikutano ya hadhara si aina yetu ya mapambano ya kisiasa. Hatutafanikiwa. Aibu tupu' aliongea kwa kwikwi mjumbe huyo. Afadhali yetu sisi tuliobaki dar