ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,722
Ukinywa soda pressure unapunguza ya damu na ndo maana hata ukichwana na kiwembe au kisu damu haitoki Sana INATOKA kidogo kidogo
Kwa hiyo nawashauri hata bia sio nzuri Ina matatizo kidogo ukinywa Sana inapelekea kupungukiwa NGUVU ya kiume.kwa hiyo kunywa kikonyagi kidogo au hata gongo kidogo.sana Sana gongo kidogo ndo maana ukilewa ukipigwa hata kidogo tu damu zinatoka kwa sababu mwili mzima sumu inakimbia.sometime unamchanganyia kidogo mchumba kikonyagi na soda akionja onja mizuka ikija utaniambia mzee Nani lazima litoke bao la kishujaa.
Mnisamehe jamani si mnajua Tena ujana una mambo mengi na starehe hizi majira ya moto Ila nitajichunga Sana usinipoteze/tusipotezane.
Kwa hiyo nawashauri hata bia sio nzuri Ina matatizo kidogo ukinywa Sana inapelekea kupungukiwa NGUVU ya kiume.kwa hiyo kunywa kikonyagi kidogo au hata gongo kidogo.sana Sana gongo kidogo ndo maana ukilewa ukipigwa hata kidogo tu damu zinatoka kwa sababu mwili mzima sumu inakimbia.sometime unamchanganyia kidogo mchumba kikonyagi na soda akionja onja mizuka ikija utaniambia mzee Nani lazima litoke bao la kishujaa.
Mnisamehe jamani si mnajua Tena ujana una mambo mengi na starehe hizi majira ya moto Ila nitajichunga Sana usinipoteze/tusipotezane.