Tee wife material
JF-Expert Member
- Jan 15, 2019
- 323
- 349
Hayo maswali ya lectureHahaha umetumia kipimo gani kupima level ya ukilaza wako kichwani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maswali ya lectureHahaha umetumia kipimo gani kupima level ya ukilaza wako kichwani?
Tena hiyo nyingine huwa ni baba ushauri mzuri tuHalaf ukute kwa id yako tunaoijua kutwa kuchwa kuponda wanawake ndio maana umeogopa eeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ni ya chemsha bongo tu
Hii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”?
Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
1. Awe muelewa sana
2. Awe na upendo na pia ajali
3. Awe na uwezo wa kushauri masuala mbalimbali
4. Maumivu yake ya zamani asiyahamishie kwangu.
Sifa zangu
1. Mwanaume rijali mwenye miaka 35
2. Naishi Dar es Salaam
3. Sio muongeaji sana na hii imekuwa tatizo kwenye mahusiano yangu yaliyopita
4. Bado nina maumivu ingawa sitayahamishia kwako
Mengine tutazungumza PM
Is that you?Awe anapenda kuliwa denda na kugegedwa pia awe msafi na mpishi mzuri wa mahanjumati.
Hizo ni muhimu kwa mke kuwa nazo Mkuu.
swali la msingi sana hili..
Hahaha kwenye kugegedwa asiwe ananibania tu au anatumia kama fimbo akitaka kituAwe anapenda kuliwa denda na kugegedwa pia awe msafi na mpishi mzuri wa mahanjumati.
Hizo ni muhimu kwa mke kuwa nazo Mkuu.
Hahaha kwenye kugegedwa asiwe ananibania tu au anatumia kama fimbo akitaka kitu
😂😂😂Utarudi hapa kulalama mke ananinyima uchi AKA Papuchi nifanyeje mie maana ugwadu umezidi nafikiria kumbaka 🤣🤣🤣🤣🤣
Utarudi hapa kulalama mke ananinyima uchi AKA Papuchi nifanyeje mie maana ugwadu umezidi nafikiria kumbaka
Kuna dharura gani mpaka unatafuta haraka?Mimi nipo siriasi nautafuta mke wa kuoa haraka mawasiliano 0717342414
Sent using Jamii Forums mobile app