Kweli eeeeeh!!Tusisahau vilevile kwamba wengi wameambukizwa ukimwi kwa kukumbushia ya zamani! Wasichana wengi siku hizi wapo na ni wazuri ajabu, kwa nini uende na wake za watu?
mbona hutaki kukubali ukweli? mimi naona hata hiyo asilimia 75 sio kweli inaweza kuwa kwenye 85%.Hivi mbona mnatuonea sna wanawake jamani!! Mwanamke anaeheshimu ndoa yake na mumewe sidhani kama anaweza kufanya kitendo kama hicho kwenda kuchakachuliwa na dume lingine...
Kma kuna mwana JF na umefanyiwa hivyo na mkeo bas jua wewe sio RIJALI!!:redfaces::redfaces::redfaces::redfaces:
Ni kweli lakini kumbuka wanaume inapenda kwa macho, hata mwanamke asiye mpenda inaweza lala naye, lakini mwanamke yenyewe kwake sivyo inapenda kwa moyo. ni kama kuruhusiwa kuingia nyumbani ya mtu. hakuingizi hivihivi na ukisha ingia kutoka kazi, hadi sululu zitumike.
:ranger::ranger::tape2::tape2:una uhakika wewe?
au demu wako alivyodinywa na x wake bas ndo mademu woooooooooooote watadnywa na ma x wao?
izi topic za kudhalilisha akiyamungu bas tu....
:ranger::ranger::tape2::tape2:
mbona hutaki kukubali ukweli? mimi naona hata hiyo asilimia 75 sio kweli inaweza kuwa kwenye 85%.
Mavi ya kale dhahabu.
Kwa hiyo mkeo na maza wanamegwa sio????
Aaahh... nilifuatilia hili hadi nimepata almost 75% wanasema kama ukishakuwa na uhusiano
na mwanamke kabla ya kuolewa/ akiwa ndani ya ndoa yaani mmekuwa mnamegana, na kuachana kwa sababu nzuri tu, labda kaolewa kahamia mbali, au kahamishwa kazi then akaja olewa au ulishalala na mwana mke mara moja na hamjagombana siku yeyote ukimwomba hawezi kukunyima, so wanaume watalaam wa mapenzi ni vigumu kugombana na wanawake wanajua siku moja wataonana na kupewa as usual, awe ameolewa au single ili mradi upate SIKU MOJA then siku zijazo hakuna kutongoza , just make a call na
kupanga time utapewa, kumbe ni kale ka aibu ka mwanzo tu, aiseeeeeeeee, mm nimeshanoa panga ole.
wanaume wa kitanzania mnatabia mbaya sana. mnapenda kuwatupia wanawake lawama zote!! Hivi, wewe huwa hukumbushii? Mbona ukijibiwa kwamba 'nimeolewa' huwa unaendelea kumshawishi kwamba 'haitokuwa na tofauti yeyote'????hii ni kweli aisee tena ving'amuzi vingine hua vinakumbushia vyenyewe
:A S-alert1: please!Kwa hiyo mkeo na maza wanamegwa sio????
Nenda kwenye shimo la choo ukachukue ukauze dukaniMavi ya kale dhahabu.
dada umekuwa mkali kiasi kwamba duuu, mfano uliyotoa siyo kabisaaa!Kwa hiyo mkeo na maza wanamegwa sio????