Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Nilifuatilia hili hadi nimepata almost 75% wanasema kama ukishakuwa na uhusiano na mwanamke kabla ya kuolewa/ akiwa ndani ya ndoa yaani mmekuwa mnamegana, na kuachana kwa sababu nzuri tu, labda kaolewa kahamia mbali, au kahamishwa kazi then akaja olewa au ulishalala na mwanamke mara moja na hamjagombana siku yeyote ukimwomba hawezi kukunyima, so wanaume watalaam wa mapenzi ni vigumu kugombana na wanawake wanajua siku moja wataonana na kupewa as usual, awe ameolewa au single ili mradi upate SIKU MOJA then siku zijazo hakuna kutongoza, just make a call na kupanga time utapewa, kumbe ni kale ka aibu kama mwanzo tu mimi nimeshanoa panga uone.