Mwanamke wapimwe akili kabla ya kupewa mtoto baada ya kujifungua

Ukisoma vzr walau utangulizi wa "peripartum psychosis" kwenye literature za obstetrics utagundua karibu kila mwanamke anapatwa na matatizo ya kiakili wakati wa labour & delivery, viwango tu ndo vinatofautiana....
 
Aseee kweli ya Mungu mengi.
Na namshukuru Mungu kichanga wala akikulia tena kilikua kinafurahia hali ile duuu!
 
Nazani mtaniunga mkono kwa maana;-

Kuna mwaka flani nikiwa bado kcmc nilifanikiwa kuona jinsi kichaa cha kuzaa kilivyo kibaya na hatari mno yahitaji moyo mno kusoma huu uzi....
Kama kuna uhitaji huo inakuaje haifanyiki siku zote? Ni gharama kwa nchi zetu au inakuaje? Nchi za watu hasa huko ulikosomea huwa inakuaje? Ni kitu kipya kukisikia kwa sie tusio madaktari
 
Embu andika tuone na wewe daah yani bongo bana amjaona elimu mmeona broken tu inashangaza mno

Kwani kazi ya mods ni nini?
Yaani uandishi wako unazidi kuprove wewe si daktari bana.

Amjaona.

Mi msomi naandika vizuri.
 
Asante mkuu wenzio wanaona broken tu awaoni ujumbe ila naomba jf sa ivi mtu kuchangia mada atume namba zake za nida ili tusiwe tunaangaishana na vifaranga

Ha ha ha


Wanifurahisha sana na uandishi wako.

Kama u msomi basi hujaelimika walahi....huna tofauti na uandishi wa darasa la saba.
 
Kitaalamu hiyo inaitwa postpartum depression. Ni msongo wa mawazo unaowapata kina mama baada ya kujifungua...

Hii ni kwa aina zote 2 za kujifungua normal na c-section au kwa c-section tu labda kwa sababu ya zile dawa za ganzi!!?
 
Ha ha ha


Wanifurahisha sana na uandishi wako.

Kama u msomi basi hujaelimika walahi....huna tofauti na uandishi wa darasa la saba.
Mimi sijaona hata kosa kwenye unandishi wake... Kwanini hua hatuangalii content ..mnakimbilia kwenye L na R Kama vile Ni mwalimu wa kiswahili anasahihisha mitihani
 
Ha ha ha


Wanifurahisha sana na uandishi wako.

Kama u msomi basi hujaelimika walahi....huna tofauti na uandishi wa darasa la saba.
We ulie soma mpaka chuo jamii inatambua umuhimu gani wa elimu yako ??
 
Nakumbuka nilivyotoka kujifungua nilikuwa na hasira mno yaani hata kumgusa mtoto sikuwa natamani,

kila kitu kilikuwa kibaya kwangu,kichwa kikawa kama kina vurugu hata sielewi.
mimi nilichoka sana maumivu ya mshono sikumtamani mtoto siku 2 alipumzishwa bila kumuona manesi walijua mama ake kafa siku a 3 naenda kunyonyesha wakashangaa
 
Sure kabisa afu ukimuuliza elimu yake inamchango gani kwa jamii unaskia inanipa laki nane kwa mwezi
Wewe ndo msomi unayekera. Umesoma kote huko miaka mingapi sijui ya udaktari unashindwaje kurekebisha makosa madogo kama hayo?
 
Wewe ndo msomi unayekera. Umesoma kote huko miaka mingapi sijui ya udaktari unashindwaje kurekebisha makosa madogo kama hayo?
Nyie ndo wale mawifi wakuda sio shaka uko -18 ujui ata afya ya uzazi
 
Mkuu na uishi sana

Pole sana kumwona anayekusifia kwa makosa uyafanyao ni mwema kwako.

Anakuharibu.

Sisi tusemao ukweli unatuona wakuda.

Kama kweli wewe msomi badilika na uandishi wako....jitofautishe na wa shule ya msingi, kidato cha nne na kidato cha sita.

Unatufanywa tuwaone walimu wako vilaza....sijui ulikuwa unajibuje huko shule.
 
Back
Top Bottom