Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Miezi miwili iliyopita kipindi tunasherekea birthday yake akitimiza miaka kwa kuwa umri umeenda aliniambia mwaka huu Lukasi anahitaji mtoto na kuhusu swala la maisha baada ya kujifungua nimwachie mwenyewe atapambana kiasi flani na mimi nipambane kiasi flani tutakachopata to save kwa ajiri ya mtoto hivyo akanipatia muda nijiandae na majukumu tulikubaliana japo mimi kimoyoni nilikuwa nimekubali shingo upande ila sikuwa tiyari.
Sasa leo asubuhi alinipigia simu tukazungumza mambo mengi baada ya muda akagusia swala la mtoto akitaka kufahamu nimejipangaje nyumbani kwao kipindi akiwa na mimba yangu atawaelezea nini, je nipo tiyali kwenda kujitambulisha na ikitokea nimejitambulisha nimejianda kutoa mahali lakini je mtoto akizaliwa nitaweza kumtunza na kusimamia majukumu kwa kifupi mambo ni mengi lakini mwisho wa siku nimegundua hayupo tayari
Kwa wale wanaowajua wanawake hebu nisaidieni binti anapoonesha dalili kama hizi kubadilisha mawazo kwenye jambo kama hilii ili nianze kuchukua hatua sahihi
Sasa leo asubuhi alinipigia simu tukazungumza mambo mengi baada ya muda akagusia swala la mtoto akitaka kufahamu nimejipangaje nyumbani kwao kipindi akiwa na mimba yangu atawaelezea nini, je nipo tiyali kwenda kujitambulisha na ikitokea nimejitambulisha nimejianda kutoa mahali lakini je mtoto akizaliwa nitaweza kumtunza na kusimamia majukumu kwa kifupi mambo ni mengi lakini mwisho wa siku nimegundua hayupo tayari
Kwa wale wanaowajua wanawake hebu nisaidieni binti anapoonesha dalili kama hizi kubadilisha mawazo kwenye jambo kama hilii ili nianze kuchukua hatua sahihi