Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

Shukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
Uliulizwa..kwa nini hukumuoa huyo chepuko badala ya huyo mkeo?
jibu ulilifunya funya!

Huna msimamo...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simple Math! Chalii umeoa hongera sana, umepata mtoto hongera pia. Ila umeoa na kupata mke bila kutambua ulichofanya lingine umezaa ukijua kuwa huna mpango wa heshimu mahusiano yako ya mwanzo ndio maana ukaachana na mama watoto wako ukavuta jiko jipya. Sasa unatapatapa na mama watoto ambae kwa mujibu wa maelezo yako hana time kabisa na wewe ila unanata kwake, huko nyumbani una mke poa tu na anakuelewa kinyama yani ata ukitoka kufanya yako nje anatulia na mnaendelea kiroho safi kama ulinavyodai. Sasa dingi kuna mda mahesabu yatakaa sawa na hauta amini meza ikipinduka ikianzia ndani ya nyumba yako alafu sinema ikiishia kwa mama watoto ambae hataki shobo na wewe. Nahisi utarudi hapa JF na story ya vilio alafu wahuni tutakata ringi kiroho mbaya...

NB: Ushauri wa bure tulia na familia yako mpya iliyobarikiwa na imani unayosimamia kwani umepata vibali kwa wazazi pande zote na Mola, uendelee kumpenda mwanao kutoka upande wa pili alafu fanya yako. Acha utoto mwingi au usikute umeruka stage.
 
Anajielewa wakati anakuambia amezaa nje ya Ndoa na hapohapo anasema anamheshimu sana mkewe? Hii kejeli kwa mke wake..wewe umesoma ushauri ukaacha tabia ya kishenzi aliyojitolea mfano. Yaani mtu amechepuka hadi anapata mtoto wewe unamsifia..!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
ameadmit ujinga wa kuwa na michepuko Na ile heshima ya mke au familia kwa ujumla ..hilo tu .

Cc Smart911
 
Mfia nchi,
Tupite kimya kimya wakati uzi wa kijinga/kitoto unauleta mwenyewe. Huyo mchepuko ashapata jamaa anamchapa na subiri mkeo nae apate mchepuko atachapwa.
 
Ni bora ungemuoa huyo uliyezaa naye kuliko unayoyafanya muda mwingine tunafanya mambo tunahisi ni sawa na tunaona ufahari kumbe sio sawa hebu geuza upande wa pili angekuwa anafanya mkeo hivyo mahusiano yenu yangekuwaje? Ukiwa umeoa unapotaka kufanya jambo fikiria na upande wa pili, tusiwe wabinafsi huku tukitanguliza haja zetu mbele
 
Ni bora ungemuoa huyo uliyezaa naye kuliko unayoyafanya muda mwingine tunafanya mambo tunahisi ni sawa na tunaona ufahari kumbe sio sawa hebu geuza upande wa pili angekuwa anafanya mkeo hivyo mahusiano yenu yangekuwaje? Ukiwa umeoa unapotaka kufanya jambo fikiria na upande wa pili, tusiwe wabinafsi huku tukitanguliza haja zetu mbele
Mkuu upo sahihi mno. Najutia maamuzi yangu. Ni ubinafsi mkubwa sana.
 
Mkuu nipo njia panda kwelikweli. Mama wa mwanangu namkubali sana. Halafu nina wivu naye sana. Huwa nikipiga simu yake halafu nikakuta ipo busy huwa najisikia vibaya sana. Kiufupi nampenda.
Ntantafuta nimuoe sababu si mkeo, Nafikiri tutaheshimiana
 
Back
Top Bottom