Mwanamke wangu niliyezaa naye tumezinguana. Roho inaniuma naombeni ushauri wenu

Naona wengi hawatoi ushauri alioomba mtoa mada, back to the mada

Endelea kujali mtoto, ulizia afya yake, mahitaji yake na automatically mtarudiana (kimapenzi)

Angalizo, usipende kutoa vitisho wakati huwezi kuvi handle

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu upo sahihi mno. Najutia maamuzi yangu. Ni ubinafsi mkubwa sana.
Pole sana kwa mkeo anajua anaishi na ampendaye kumbe anapendwa mzazi mwenzie, yaani kuna vitu kabisa unampunja mkeo unavitoa huko daa, chagua moja usimuumize mkeo siku makali ya kisu yakigeuza usitafute gunia za mkaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu shida ni moyo hata mimi yupo niliezaa nae na sasa amezaa na Mwana mwingine japo na Mimi nimeoa ila moyo umegoma kabisa kumtoa, labda cha msingi ni kujaribu kuwa mbali nae ili kupunguza kumpenda maana vinginevyo ndoa yako itaenda kuharibika na pengine ex wako ashapata mwingine ukajikuta unakosa vyote, binafsi nimejitahidi kusitisha mawasiliano kwa mda mrefu sana labda yeye ndo anitafute na akinitafuta huwa sipendi kuongea nae mda mrefu na nimefanikiwa kwa asilimia 87 hizi zilizobaki kwa ajili ya mtoto tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
House of Commons,
Shukrani mkuu. Wife nampenda sana. Huwa akitishia kuondoka huwa naona dunia imefika ukingoni. Kiufupi wife means a world to me. Tatizo huyu mama wa mwanangu nampenda kinyama na nikiwa naye faragha huwa ananikuna kisawasawa. Ni wale mademu wenye utundu wa asili, pia she is very beautiful. Kumuacha aende zake sio rahisi as simple as people may think.
Basi endelea kuzini lakini mwisho wa ubaya aibu! Maana hutaki ushauri unalazimisha unalowaza wewe uungwe mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu. ...Sikumuoa kwa sababu tayari nina mke ila nataka nimuoe hivyo hivyo hata kwa taratibu nje ya dini. ...By the way nikimtafuta si ataniona najipendekeza? Mimi mwenyewe ndio nilimwambia tusijuane halafu tena mimi ndio nianze kumtafuta huoni kama atachukua point zote tatu?
UNAMPENDA MWANAO? ACHA KELELE MY NDUGU, ONYESHA MAPENZI YOTE KWA MWANAO MWENYEWE ATAKUPA MPAKA ROHO YAKE, MAANA WEWE UNAONEKANA KUWA BABA USIYEWAJIBIKA. MUDA SIO MREFU MWANAUME MWENZAKO ATAPEWA PAPUCHI NA MTOTO KABISA
 
Member wote wa JF kwangu ni kama sehemu ya familia. Humu unaweza kupata ushauri mzuri sana ambao unaweza kubadirisha maisha yako ina a positive way.

Ndugu zangu kwa huo utangulizi naombeni ushauri wenu kuhusu haya mahusiano yangu.

Siku ya Xmass nilileta uzi humu kuhusu wife kunikamata red handed nikijiandaa kutoka kwenda kula Xmass na mama wa mwanangu japo wengine mlimuita mchepuko.

Siku ile nilienjoy vizuri tu na mama wa mwanangu na niliweza kurudi mapema nyumbani ili kumtuliza wife. Wife nilimkuta ana huzuni kubwa hata kula hakuweza.

Niliingia nikiwa nimevaa sura ya upole na kumkalisha wife chini na kuzungumza naye.

Nilimuomba wife ajaribu kunielewa. Utetezi wangu mkuu ulikuwa ni kwamba "yule mwanamke nimezaa naye, hivyo mtoto wake hana tofauti yoyote na hawa watoto wetu wa humu ndani, hivyo hata yeye na mtoto wake wanastahili better treatment as you and our children".

Wife kwa sababu ananipenda hakutaka kuongea sana ila aliendelea kununa japo baadae alikaa sawa na amani ndani ya nyuma ilirejea.

Ushauri ninaouomba kwenu ni kuhusu huyu mpenzi wangu niliyetoka naye siku ya Xmass. Jumapili ya 29 Dec nilimtaarifu huyu mama wa mwanangu ningekuja kwao kumchukua tuende zetu sehemu lakini alinikatalia kwa kisingizio eti kachoka anataka kumpumzika.

Nilimwambia hatutaenda mbali, nataka tutoke kidogo tu then tutarudi. In fact yeye alihisi nataka kwenda kula tunda hivyo alikuwa anadai yeye amechoka na mimi nilimsistizia lengo langu wala sio kula tunda.

Baadae alikubali akasema nimfuate. Basi muda umefika namcheki kwenye simu nakuta simu haipatikani, nikaendelea kumcheki now and then bado tu simu haikupatikana. Baadae baada ya kupita kama saa moja hivi akapatikana.

Swali la kwanza nilimuuliza kwa nini simu umezima, akasingizia eti network ndio shida ila hakuzima simu.

Nilihisi anaongea uongo hivyo nikampandishia, nikamkoromea akanikatia simu na kuizima kabisa. Baada ya kama nusu saa hivi simu ikaanza kupatikana tena. Nilichomwambia tusijuane.

Kusema ukweli huyu mwanamke nampenda na hapa nafsi inanisumbua sana. Najishauri sijui nimrudie, sijui nimpotezee mazima tu. Naombeni ushauri wenu.

Kama huna cha kushauri naomba upite kimyakimya tu badala ya kutoa kejeli.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Sasa unaomba ushauri wa nini wakati unampenda mchepuko kuliko mwanamke aliyeamua kuishi na wewe?!
Wanawake ni wavumilivu sana, lakini ni wataalam wa kuhesabu makosa mioyoni mwao, siku akisema "YATOSHA" hakika hageuki wala hashauriki!!
Wewe endelea na huyo mchepuko wako sababu umesema vizuri kwamba anahita better treatment sawa na aliyeondoka! Kwahiyo hujapungukiwa kitu!!
 
Hizi ndoa za siku hizi bana ni shida. Wanawake wanaroga sanaa ili waolewe. Matokeo yake dawa zikiisha nguvu mwanaume anakumbuka alikotoka. Usikute huyo mke aliroga. Kakuta mwenzie yupo tena ameshazalishwa kapambana na waganga hadi kaolewa yeye. Sasa yanamrudi. Haya mambo yanachanga jamanii. Mungu atusaidie.
 
Back
Top Bottom