Mwanamke wa namna hii hafai kwa mwanaume yeyote

Mbona tumeolewa na wanaolewa sana tu. Kuna jamii kikuku ni urembo haswaa tena mnashindana urembo wake hata kipini ni urembo pia. Vikuku vipo tangu BC.
Kuhusu tattoo mbona wamakonde wanazo.

Don't judge a book by its cover. Unaweza tafuta asiyevaa vikuku wala vipini nje ila akawa shetani ndani ya nyumba. Shauri zako
 
Kuna binti ninamfahamu kwa ukaribu sana...picha linaanza ana kipini cha pua tena sio kile cha kwenye tobo upande hapana! Kile kinapita katikati ya matundu mawili...amenyoa style flan juu kaweka bleach...ana kipini cha kwenye kitovu...vikuku ni km desturi kwake...

Anavuta shisha balaa..anatumia bangi pia kiasi ila sigara sijawahi mshuhudia..anapia hennessy vibaya mno na guess what!! Ni bonge la mke ameolewa na mzungu kijana tu tena sio wale ma bad boy mstaarabu mnoo!

Ana roho nzuri kupita kiasi ni mke anaemjali mme wake sijapata kuona...mzungu mwnyw anakwambiaga am lucky to have "W" as my wife...ana watoto wawili na wana biashara kubwa na msimamizi mkuu ni yy...anasimamia kwa weledi mkubwa na upendo ndani yake.

Sasa nyie endeleen kutaka hao wanaoact nyuzi za kulia lia hazitoisha humu! Oa utaeendana nae sio ataekuaktia.

Na binti ni mmbongo pisi ya kihaya very cool and kind..chakula cha mmewe anapika yeye lbd itokee dharura...nguo za mmewe japo zinafuliwa na mashine ila anacontrol kila kitu yeye! Ukimkuta kwny hiyo hotel yao ubusy alionao sio wa nchi hii huku anashushia na hennesy au desperado...ukitulia zake ni shisha na bangi ila narudia tena ni aina ya mwanamke kila mwanaume angependa tabia zake na moyo wake ukiachana na hayo mengine.

Hawa kina kautipe wenu wamekalia kuroga muwapende na uvivu tu.
 
Kuna kipindi miaka ya hapa majuzi tu wanawake wanaonyoa na kupaka blich nilikuwa nawaonekana waru waru sana, ila sasa hivi nimewachukulia kawaida tu, labda ndio urembo mixer trend inavyotaka wawe
 
Kwa mtindo huo utagongewa sana ukifuata hao wenye hijabu na kutokunywa pombe.
Kugongwa kwa mwanamke ni tabia yake mwenyewe. Haijalishi ana kipini au bangili. Tena ogopa sana wanaojifanya walokole na waswalihiana maana hao ndio wanagongwa mpaka basi. Acha kuishi kwa kukariri.
Kunywa bia talipa mkuu
 
Kuna binti ninamfahamu kwa ukaribu sana...picha linaanza ana kipini cha pua tena sio kile cha kwenye tobo upande hapana! Kile kinapita katikati ya matundu mawili...amenyoa style flan juu kaweka bleach...ana kipini cha kwenye kitovu...vikuku ni km desturi kwake...

Anavuta shisha balaa..anatumia bangi pia kiasi ila sigara sijawahi mshuhudia..anapia hennessy vibaya mno na guess what!! Ni bonge la mke ameolewa na mzungu kijana tu tena sio wale ma bad boy mstaarabu mnoo!

Ana roho nzuri kupita kiasi ni mke anaemjali mme wake sijapata kuona...mzungu mwnyw anakwambiaga am lucky to have "W" as my wife...ana watoto wawili na wana biashara kubwa na msimamizi mkuu ni yy...anasimamia kwa weledi mkubwa na upendo ndani yake.

Sasa nyie endeleen kutaka hao wanaoact nyuzi za kulia lia hazitoisha humu! Oa utaeendana nae sio ataekuaktia.

Na binti ni mmbongo pisi ya kihaya very cool and kind..chakula cha mmewe anapika yeye lbd itokee dharura...nguo za mmewe japo zinafuliwa na mashine ila anacontrol kila kitu yeye! Ukimkuta kwny hiyo hotel yao ubusy alionao sio wa nchi hii huku anashushia na hennesy au desperado...ukitulia zake ni shisha na bangi ila narudia tena ni aina ya mwanamke kila mwanaume angependa tabia zake na moyo wake ukiachana na hayo mengine.

Hawa kina kautipe wenu wamekalia kuroga muwapende na uvivu tu.
Bora umetutetea wavaa vikuu.... Huyu bado yuko karne ya 47 huko
 
Kutoboa Pua.... Hiii inategemea na Tamaduni za eneo

Wanawake wa uKanda wa Pwani hawa kutoa pua ni jadi yaan nikama wanawake wale wanaokeketwa

Kuvaa kikukuu, hii ipia ina sura mbili...kwa ukanda wa Pwani wote, inaweza kua ni sehem ya urembo . Au pia huo huo upwani wao ikaamanisha kingine.

Bob mwanamke
Mvuta sigara huyu atakuzalia watoto sura mbovu mpaka Unahisi sio wako
Anayejipeleka Bar

Mnywa pombe kali ,huyu naye ...bana eeehh Walevi shida yao ni Wagonvi sanaa, yaan mlevi anataka mafujo muda wote..kwahiyo hawa nao ni wakuangaliaaa...( kuna wale ambao wamekulia kwenye familia hizo, mfano Wachaga, hawa kuwatenganisha napombe ni Polisi na Mzimu wa Hamza.).......

Eeehh basi Kunywa ndani. Au wanawake wenzio kiasi ila usipoteze ufaham...... Ila KIIMANI, My Dear you are not Mke mwema kwa mujibu wa kitabu cha "Wimbo uliobora
Mchora michoro mwilin.

Kwa ufupi, Mwanamke asiyemcha Mungu..... Una dem et mara ya mwisho kwenda kanisan ni Siku anapokea kipaimara

Bro una date au uko na kakuni katakako kuchochea moto siku ya kihama???.
 
Tunatofautiana

Hizo ulizotaja hapo ndio sifa za mwanamke bora kwa upande wangu. Siwezi kaa na kishoia asiegonga ulabuu
 
Don't judge mzee hivyo vitu vingine ni matakwa binafsi tu.
USHUHUDA
Mimi Kuna mama mchungaji nilikua namkula Kuna siku kaja na furaha zake akanitunuku mtandao pendwa japo mara ya kwa alisikia maumivu kidogo lakini badae tulikua tunaenjoy sana maana ndio sehemu yake alikua sensitive sana hata kumnyonya unaanza kwenye mbususu mpaka kwenye kinyeo alikua ananena kwa lugha mbaya huyu huko mkoani.
Juzi nimehamia jijini ndio nikakutana na dada mmoja decent sana familia ya wafia dini sana na yeye dini anaijua Sana, Sasa kutokana nilishaonjeshwa topeni nikajaribu kumuomba huyu dah alifurahi Sana kumbe naye anapenda mambo sema alikua anaogopa akianza nitamuonaje basi nikiwa naye nakua huru kwenye mashimo yote na tunaenjoy maisha kama atakubali kubadili dini naoa kabisa maana ni wife material aliyekamilika
Kiujumla haya mambo hayana formula kabisa kuhusu suala la muonekano au mtindo wa maisha ya mtu hauna uhusiano wowote na tabia za mtu alizonazo
 
Back
Top Bottom