Yupo Calabash babu..vp ndio michezo yako nn ninjayuko bar gani niende sasa hivi ni calabash,tips au summer night
hahahahahaYupo Calabash babu..vp ndio michezo yako nn ninja
Pesa ndo ya kuchunga mkuu maana inaisha ila mwanamke hachungwi wala kuwazia kugongewa maana io kitu haiishiJF
Napenda kuwakumbusha wanaume wenzangu kama mimi, hakuna kitu kinakaba koo kama mwanamke wako ku
Kunywa bia talipa mkuuKwa mtindo huo utagongewa sana ukifuata hao wenye hijabu na kutokunywa pombe.
Kugongwa kwa mwanamke ni tabia yake mwenyewe. Haijalishi ana kipini au bangili. Tena ogopa sana wanaojifanya walokole na waswalihiana maana hao ndio wanagongwa mpaka basi. Acha kuishi kwa kukariri.
Bora umetutetea wavaa vikuu.... Huyu bado yuko karne ya 47 hukoKuna binti ninamfahamu kwa ukaribu sana...picha linaanza ana kipini cha pua tena sio kile cha kwenye tobo upande hapana! Kile kinapita katikati ya matundu mawili...amenyoa style flan juu kaweka bleach...ana kipini cha kwenye kitovu...vikuku ni km desturi kwake...
Anavuta shisha balaa..anatumia bangi pia kiasi ila sigara sijawahi mshuhudia..anapia hennessy vibaya mno na guess what!! Ni bonge la mke ameolewa na mzungu kijana tu tena sio wale ma bad boy mstaarabu mnoo!
Ana roho nzuri kupita kiasi ni mke anaemjali mme wake sijapata kuona...mzungu mwnyw anakwambiaga am lucky to have "W" as my wife...ana watoto wawili na wana biashara kubwa na msimamizi mkuu ni yy...anasimamia kwa weledi mkubwa na upendo ndani yake.
Sasa nyie endeleen kutaka hao wanaoact nyuzi za kulia lia hazitoisha humu! Oa utaeendana nae sio ataekuaktia.
Na binti ni mmbongo pisi ya kihaya very cool and kind..chakula cha mmewe anapika yeye lbd itokee dharura...nguo za mmewe japo zinafuliwa na mashine ila anacontrol kila kitu yeye! Ukimkuta kwny hiyo hotel yao ubusy alionao sio wa nchi hii huku anashushia na hennesy au desperado...ukitulia zake ni shisha na bangi ila narudia tena ni aina ya mwanamke kila mwanaume angependa tabia zake na moyo wake ukiachana na hayo mengine.
Hawa kina kautipe wenu wamekalia kuroga muwapende na uvivu tu.
Kutoboa Pua.... Hiii inategemea na Tamaduni za eneo
Wanawake wa uKanda wa Pwani hawa kutoa pua ni jadi yaan nikama wanawake wale wanaokeketwa
Kuvaa kikukuu, hii ipia ina sura mbili...kwa ukanda wa Pwani wote, inaweza kua ni sehem ya urembo . Au pia huo huo upwani wao ikaamanisha kingine.
Bob mwanamke
Mvuta sigara huyu atakuzalia watoto sura mbovu mpaka Unahisi sio wako
Anayejipeleka Bar
Mnywa pombe kali ,huyu naye ...bana eeehh Walevi shida yao ni Wagonvi sanaa, yaan mlevi anataka mafujo muda wote..kwahiyo hawa nao ni wakuangaliaaa...( kuna wale ambao wamekulia kwenye familia hizo, mfano Wachaga, hawa kuwatenganisha napombe ni Polisi na Mzimu wa Hamza.).......
Eeehh basi Kunywa ndani. Au wanawake wenzio kiasi ila usipoteze ufaham...... Ila KIIMANI, My Dear you are not Mke mwema kwa mujibu wa kitabu cha "Wimbo uliobora
Mchora michoro mwilin.
Kwa ufupi, Mwanamke asiyemcha Mungu..... Una dem et mara ya mwisho kwenda kanisan ni Siku anapokea kipaimara
Bro una date au uko na kakuni katakako kuchochea moto siku ya kihama???.