Mwanamke wa kuzaa naye

Habari zenu, natafuta mwanamke wa kuzaa naye watoto wawili wa kiume tu, sababu nitazitoa baadae. ila sitaki tuoane, sitaki tukae pamoja kama mume na mke, kila mmoja akae kivyake.
wawe twins tafadhali,niko tayari.
 
Nataka watoto, sio mke, sababu nitazitoa kwa huyu tukayeelewana pamoja, ina maana kuwa nitabeba majukumu yote kama baba, baada ya miaka 7, watoto nitakaa nao mimi.ninacho maanisha hapa ni kuwa huyo nitakayezaa naye, atakuwa na uhuru wa kuolewa kokote baada ya kunizalia hao watoto wawili.
<br />
<br /
Nenda ka adopt ulee,unafikiri kuna mwanamke wa kuzaa tu na kuacha akaolewe kwengine! Mwanamke sio mtambo wa kufyatulia watoto,umama una thamani kubwa sana! Halafu eti unachagua wanaume watupu!
 
Mmmh! Hao watoto mtawapa shida tu, na huyo mwanamke mwenzangu mwenye huo moyo kwakweli hongera zake!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom