Mwanamke wa Kimakonde na staili ya ukarimu???"

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
925
Wanawake wa Kimakonde, Kimakua na Kimawia wanasifika kuwa ni wakarimu sana kwenye masuala ya "kijamii", wakati fulani ukienda mikoa ya kusini kikazi na kupanga nyumba ya kulala wageni (guest house) , usiku unasika mlango unagongwa kwa ile staili ya "house keeping" kwenye hoteli kubwa …ukifungua unakutana na binti mrembo amejifunga kanga moja tu na kabeba chungu kidogo cha cahula kichwani . Ukimuuliza kulikoni, tena pale usiku, anakujibu:
" eh, Kaka, mi kuja kumwazima n'geni…(akimaanisha kakufuata weye kukuazima..).," …
ukiuliza ikoje, anakujibu:
" ehhhhh, giza lote hili, kukufutanwewee, chui, utaleleje nyumba yote hii peke yako bwana wewe ?"…(hapo sijui utasemaje tena!) ….
Mwingine ukiwa unatembea ukidondosha chocho chenye sauti ya sarafu akisikia anakuuliza

" mh, eti kaka hiyo chilingi au nchumali? (yaani ni shilingi au msumari?)....ukijiubu "shilingi" anakujibu kwa tabasamu la aina yake la kicheko kidogo cha mbali huku kakunja shingo yake upande:

…."nh, miye kun'nogea hiyo chilingi bha (yaani anapenda hela)basi kama unayo nyingi, nipege basi bwana wewe.!".

Wakati staili ya kukubaliwa kwa mwanamke wa kinyalukolo ni "niangusege bhe, si sambi sako mwenyewe...."… staili ya kule Ntwara, Lindi, Masasi, Newala na Nachingweha "ukiomba" unajibiwa:

"mmh kaka, mwenzio kunnyima ntu kitu, n'ngali kitu n' nacho,.... tena Nnungu kunipa bure,..ah, najiskia huruma kweli mwenzio..!".. (Nnungu = Mungu).
 
Utakapokuwa kitandani ukiwa marehemu mtarajiwa wa ngoma utajutia hiyo bure!
 
Etiii, ungekuwa ugali ungesema atamaliza, lakini kitu anaacha hapohapo....usiwe nchoyo bana!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom