Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,834 Jun 19, 2013 #1 Heshima kwenu wana JF Kwa yule anayejua kuhusu wanawake wa kigogo, Natakakujua details
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,555 112,500 Jun 19, 2013 #2 Wavivu mnooooo..... kuomba tu ndo wanaweza.
Heaven on Earth JF-Expert Member Mar 21, 2013 37,226 26,638 Jun 19, 2013 #3 wanapiga mzigo ile mbaya Wavumilivu
Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,834 Jun 19, 2013 Thread starter #4 Heaven on earth said: wanapiga mzigo ile mbaya Wavumilivu Click to expand... Kama unataka kuoa mgogo je inafaa? Mimi msukuma
Heaven on earth said: wanapiga mzigo ile mbaya Wavumilivu Click to expand... Kama unataka kuoa mgogo je inafaa? Mimi msukuma
Bishanga JF-Expert Member Jun 29, 2008 15,323 10,050 Jun 19, 2013 #6 Annael said: Heshima kwenu wana JF Kwa yule anayejua kuhusu wanawake wa kigogo, Natakakujua details Click to expand... Wewe ni he au ke au katikati ka Kongosho? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Annael said: Heshima kwenu wana JF Kwa yule anayejua kuhusu wanawake wa kigogo, Natakakujua details Click to expand... Wewe ni he au ke au katikati ka Kongosho?
Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,834 Jun 19, 2013 Thread starter #7 Bishanga said: Wewe ni he au ke au katikati ka Kongosho? Click to expand... Mimi ni ME
Heaven on Earth JF-Expert Member Mar 21, 2013 37,226 26,638 Jun 19, 2013 #8 Annael said: Kama unataka kuoa mgogo je inafaa? Mimi msukuma Click to expand... Inafaa as long as mnapendana...... dont complicate things mambo ya kuanza kuchunguza kabila hili likoje,wakoje haya Evelyn Salt kakwambia wavivu utavunja mahusiano Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Annael said: Kama unataka kuoa mgogo je inafaa? Mimi msukuma Click to expand... Inafaa as long as mnapendana...... dont complicate things mambo ya kuanza kuchunguza kabila hili likoje,wakoje haya Evelyn Salt kakwambia wavivu utavunja mahusiano
Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,834 Jun 19, 2013 Thread starter #9 Kumbe issue ndogo tu.
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,565 52,202 Jun 19, 2013 #10 siku za nyuma kidogo okelo aliniambia kuwa wanawake wa dom wanakatwaga kile kitu.
Evelyn Salt JF-Expert Member Jan 5, 2012 63,555 112,500 Jun 19, 2013 #11 Heaven on earth said: Inafaa as long as mnapendana...... dont complicate things mambo ya kuanza kuchunguza kabila hili likoje,wakoje haya Evelyn Salt kakwambia wavivu utavunja mahusiano Click to expand... atavunja kwa wangapi ni kukomaa tu hivohivo.....
Heaven on earth said: Inafaa as long as mnapendana...... dont complicate things mambo ya kuanza kuchunguza kabila hili likoje,wakoje haya Evelyn Salt kakwambia wavivu utavunja mahusiano Click to expand... atavunja kwa wangapi ni kukomaa tu hivohivo.....