Mwanamke uwe na sura nzuri na uumbike kwa uwiano mengine yote juhudi yako

Mama Mdogo

JF-Expert Member
Nov 21, 2007
2,961
2,138
Msemo wa kwamba mwanamke na muhimu uwe na sura nzuri na uumbike kwa uwiano mengine yote juhudi yako umeenea sana katika maongezi ya kina mama. Hii hutokea wakati wakijadiliana wao kwa wao, wakimjadili mwanamke mwingine au wakibadilishana mawazo na wenzi wao. Mimi hapa nawaletea picha ya mmoja wa wanawake waliumbika kwa sura nzuri na kwa uwiano na kwa juhudi yake kajikwatua na kujiremba. Mwanamke akiamua anaweza, mwasemaje!!!

Lady 1.jpg
 
kha!! hilo wowowo balaa!!! huyo nikimbenjua style ya mbuzi kagoma kwenda lazima nimgegede usiku kucha. na hiyo miguu balaaa.
 
Mmmh...... Nahisi huu msemo sijakutana nao kabisaaaaaaaa..!!
 
mie hapa kwenye miguu na kijungu yaani mweeeeeh..........weekend nmeimaliza vizuri aisee.......
 
Mimi sukubaliani nao, maisha na Mapenzi ni ujanja wako. Utakuta mwanamke hana sura wala shape lakini kwenye mapenzi amewin vibaya.
 
hee!we mamdogo hii picha ya lara 1 umeitoa wapi?

Hahaaaaaaaaa! JUNGU LOTE HILO!!!!!! Ningekuwa zangu Manhattan, jua la bongo la kazi gani!!!!!!! What a FAT AS!!!!!!!!

Guu la biere!!!!!!!! Wala nisingesoma au kutafuta kazi, mwendo ni kukeep jiushepu tu hilo! Mashallah!!!!!!!!1
 
Hahaaaaaaaaa! JUNGU LOTE HILO!!!!!! Ningekuwa zangu Manhattan, jua la bongo la kazi gani!!!!!!! What a FAT AS!!!!!!!!

Guu la biere!!!!!!!! Wala nisingesoma au kutafuta kazi, mwendo ni kukeep jiushepu tu hilo! Mashallah!!!!!!!!1

ahahhahahahahhahahah mi hilo guu tu!
ah mwenzangu hivo hivo ulivo mchaga hapindui!wala nini!
 
Ujue kwa experience yangu ya MENOLOGY kutoka chuo kikuu cha ushangingi nimekuja kusumarize yafatayo juu ya kupagawisha mwanaume.

1. Men are more into power and control thing, hata uwe mzuri vipi kama hawezi kukucontro na kujiona kidume zaidi yako anajiweka pembeni kuepusha damaged Ego!

2.Men are more ito comfidence and composure, wanapenda msichana anaejiamini na anjua nini anataka! Sio Lara 1 leo anataka hiki akipata anataka kingine, it never ends!

3. Wanapend Mtu anewa Trust na kuwaona wanaweza! Ukitaka kumkera mumeo dare him! Atakopa kukuprove wrong (ndo mtaji wangu mwenzenu huu)

4. Wanapenda challange, sio mtu anaewaabudu! It takes all the fun out!

5. Shukrani na kurizika! Ukitaka kumng'ong'a mwanaume hata akikupa kitu kibaya kama nini, shukuru usoni tu kuepusha kutokuletewa tena! Jifanye umerizika na maisha aliyonayo japo u cant stand it! Hawapendi ushindani hao!!!!!

Ukimaster hivi vitu, basi you will get away with all crimes n charges ikiwemo kuwa mvutoless, sura ngumu, hujasoma, mchunaji/Overspending(kama mimi), Bonge, Vifupa, Mchagga/Muhindi N.K N.K
 
Well, sehemu nyengine hiyo statement yako co applicable. Sura na kila ki2 vyaeza kuwa plain,lakn 'ile mambo' anaongoza mia kwa mia.
 
Back
Top Bottom