Mr Cu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,289
- 972
Kwenu wakina Dada nawashauri muwe na chupi nyeupe nyingi kuliko rangi yoyote Hii itakufanya mambo yako yakunyookeee kwa 100%
mwanamke ukiwa na chupi nyeusi nyekundu kijani njano kahawia inafifisha nyota yako hizi sio rangi za ukeni!! Rangi za kupendezesha ukeni ni nyeupe tu na angalau kwa mbali pink anza Leo utaniamini!!
Bila picha na ushuhuda wa mafanikio yako au waliofanikiwa baada ya kufaa nyeupe, wasiochana hawakuelewi