Mwanamke usivunje ndoa kisa michepuko ya mumeo

Mnachepuka mpk mnashindwa kulala na wake zenu sijui mnapotea hisia au mnarogwa!?

Mnaharibu ndoa zenu kwa mikono yenu kwanini msiachwe?


Wanarogwa sana.

Michepuko mingi hasa ile tegemezi jobless au wenye kipato duni cha mashaka kazi yao uganga na uchawi kuwashika wanaume za watu.

Wanafahamu kuwa bila kutumia nguvu ya ziada ya giza mwanaume atamuacha kisha atakula na kuishi vipi ?

Halafu ule uchawi anaofanyiwa unaunganishwa na mkewe wa ndoa kwamba wakifika kisieleweke , wasifurahie tendo na ikibidi wakinahiane kabisa.

Wanawake wengine wa ndoa wanaathiriwa mpaka maswala yao ya uzazi sababu ya uchawi wa michepuko kupitia mumewe.

Ndiyo maana Maandiko Matakatifu yameonya sana kuwa mwanamke mchawi asiachwe kuishi maaana huwa ni mharibifu wa maisha ya watu.
 
Yani kumbe Eti michepuko wengi hasa wale jobless au wenye kipato duni motives yao kubwa ni kuhakikisha kuwa mume wa mtu wanaachana na mkewe ili yeye apewe nafasi ya pili kuingia kwenye ndoa kuziba pengo la kuondoka kwa mke

Sasa Mwanaume hujiulizi na kuona kuwa huyo ni adui mkubwa wa ndoa na familia yako?

Mtu ambaye anatamani kusikia akiamka umeachana na mkeo au mkeo hayupo kabisa yeye atafurahi na kula kuku huoni ni adui na mchawi wa ndoa yako na familia yako kwa ujumla.
 
Mchepuko ambao siyo rahisi kufikiria kumroga mume wa mtu au Mwanaume yeyote hata kama hajaoa bado ni wale wanawake ambao wako na uchumi wao huru .

Wanaweza kuishi na kujifanyia maendeleo hata ya mali zisizohamishika bila support ya Mwanaume.

Kwanza kwa nini umroge Mwanaume na kumfanyia uganga?

Kama mna mapenzi ya kweli Kwanini usiache yenyewe yafanye kazi ya kuwaweka pamoja na kuelewana?
 
Mi hata nichepuke mapenzi yanakuwa pale pale hata muhisika hawezi gundua,ila ninaponigewa akili ndo zinakuwa uko kwa sana, kina viumbe vinajua kugonoka aisee,
 
Wanaume wengi uzi huu umewaboa wameukimbia sbb hawataki kuambiwa ukweli
Acha hizo wewe.....
IMG_20210928_230806.jpg
 
Iliwekwa vile ili iwe fundisho kwa sisi kuepuka kufanya vile wao walifanya.

Sababu mwisho wa yale walofanya waliona ni ubatili mtu na sawa na kujilisha upepo.

Ni madhara gani yaliwakuta hadi iwe fundisho kwa wengine?
 
Ni madhara gani yaliwakuta hadi iwe fundisho kwa wengine?


Mpaka wakafika mahala pa kuanzimia kwa kusema kuwa mambo yote ni ubatili mtupu na sawa na kujilisha upepo ujue yaliwafika mazito .
Ukipata muda yasome
Maandiko utaweza kufahamu zaidi.
 
Mkichepuka nyie ni nature...Tukichepuka siye ni malaya..

Ndo mana mnakufa haraka ...idiot
Dah yaani wewe kuitwa malaya kunakufanya usiishi utakavyo....this is not ryt. Wee kama wapenda migegedo enjoy tuu majina yasikukatili starehe pendwa duniani
 
Wala wanawake hawana presha na kuchepuka kwenu siku hizi....

Wao wenyewe wanachepuka.

Nani hataki raha ya penzi jipya?

Nani hataki mashamsham ya mcheps?

Kuna vijana wanasimamia kucha aisee na kunyonga viuno kama feni mbovu!!!!

Kwa hiyo mnywe maji mengi tu na muendelee kuchepuka.....

Mume akichepuka kushoto...mke anachepuka kulia ...mnarudi nyumbani wepesiiiiii

Afterall haiachi alama!!!

Wala haiishi!!!
Du!!!,hatari kubwa hiyo
 
Mk
Hivi huu ufahamu wa kishetani aliwapaga nani ???

Nani alikuambia kila mwanaume lazima achepuke kama wewe rafiki zako ndugu zako na watu wanaokuzunguka wanachepuka ni hao usije na conclusion zako kutokana na circle yako na stori unazisikia

Msimamo wangu ni huu mwanaume ambaye hana hofu ya MUNGU (mahusiano na Mungu binafsi) huyo kuchepuka ni lazima wala sio hiari ,mwanaume mwenye hofu na MUNGU kamwe hawezi chepuka haijalishi nini

Note:Sijasema wanaoenda kanisani au walokole au wasabato ni wenye hofu ya MUNGU maana unaweza kulala garage usiamke gari.
Period
Mkuu una uhakika hujawahi kuchepuka.
Ina mana tokea uzaliwe umeshalala na mwanamke mmoja tu na haijawahi kulala hata na wawili kweli.
Haya nafsi yako inakuona ama inakusuta.
Unaambiwa nj asili wewe unalalama na uumbaji kwani Suleiman hakuwa na hofu mkuu.hebu acha ushabiki wa kilokole kuonekena kuwa haupendi disco wakiwepo viongozi wako wa kabisa Ila wakipotea unajipa mwenyewe.
Binadamu Kuna vitu hawezi pambana navyo na akavishinda
 
Wanarogwa sana.

Michepuko mingi hasa ile tegemezi jobless au wenye kipato duni cha mashaka kazi yao uganga na uchawi kuwashika wanaume za watu.

Wanafahamu kuwa bila kutumia nguvu ya ziada ya giza mwanaume atamuacha kisha atakula na kuishi vipi ?

Halafu ule uchawi anaofanyiwa unaunganishwa na mkewe wa ndoa kwamba wakifika kisieleweke , wasifurahie tendo na ikibidi wakinahiane kabisa.

Wanawake wengine wa ndoa wanaathiriwa mpaka maswala yao ya uzazi sababu ya uchawi wa michepuko kupitia mumewe.

Ndiyo maana Maandiko Matakatifu yameonya sana kuwa mwanamke mchawi asiachwe kuishi maaana huwa ni mharibifu wa maisha ya watu.
Mie ndio maana nasema ukichepuka kagegede malaya tuu
 
Mpaka wakafika mahala pa kuanzimia kwa kusema kuwa mambo yote ni ubatili mtupu na sawa na kujilisha upepo ujue yaliwafika mazito .
Ukipata muda yasome
Maandiko utaweza kufahamu zaidi.

Waliazimia.!! Wapi waliazimia na kutoka na tamko hilo kwa pamoja?

Ninachojua hiyo ilikuwa kauli ya Suleimani [Mhubiri] na haihusiani na wake wengi.
 
Hivi huu ufahamu wa kishetani aliwapaga nani ???

Nani alikuambia kila mwanaume lazima achepuke kama wewe rafiki zako ndugu zako na watu wanaokuzunguka wanachepuka ni hao usije na conclusion zako kutokana na circle yako na stori unazisikia

Msimamo wangu ni huu mwanaume ambaye hana hofu ya MUNGU (mahusiano na Mungu binafsi) huyo kuchepuka ni lazima wala sio hiari ,mwanaume mwenye hofu na MUNGU kamwe hawezi chepuka haijalishi nini

Note:Sijasema wanaoenda kanisani au walokole au wasabato ni wenye hofu ya MUNGU maana unaweza kulala garage usiamke gari.
Period
MFALME Daud yule wa Israel

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom