Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,746
Mnachepuka mpk mnashindwa kulala na wake zenu sijui mnapotea hisia au mnarogwa!?
Mnaharibu ndoa zenu kwa mikono yenu kwanini msiachwe?
Wanarogwa sana.
Michepuko mingi hasa ile tegemezi jobless au wenye kipato duni cha mashaka kazi yao uganga na uchawi kuwashika wanaume za watu.
Wanafahamu kuwa bila kutumia nguvu ya ziada ya giza mwanaume atamuacha kisha atakula na kuishi vipi ?
Halafu ule uchawi anaofanyiwa unaunganishwa na mkewe wa ndoa kwamba wakifika kisieleweke , wasifurahie tendo na ikibidi wakinahiane kabisa.
Wanawake wengine wa ndoa wanaathiriwa mpaka maswala yao ya uzazi sababu ya uchawi wa michepuko kupitia mumewe.
Ndiyo maana Maandiko Matakatifu yameonya sana kuwa mwanamke mchawi asiachwe kuishi maaana huwa ni mharibifu wa maisha ya watu.