Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 587
- 783
Seriously niwapongeze single mamas wote kwa kupiga hatua kimaendeleo, maana suala LA kuzaa ni majaaliwa, sasa niwaambie single mama acheni kuogopa kumwambia mwanaume kama ww tayari unamtoto wakati unaanzisha uhusiano mpya kwa kuhofia kupoteza Sifa za kuolewa na huyo mwanaume, watu wako tofauti bhana kila mtu na mtazamo wake.
Hata kwenye mavazi kuna watu wanapendelea zaidi mtumba kuliko spesho, jiulize lini mitumba imekosa soko nenda karume pale, nenda Ukaone watu wanavyonunua mitumba na wakiwa wanajua kua ishatumika lakini bado Wananunua kiroho safi tuu,
Watu Wananunua nyumba na magari used na wanapenda coz yametestiwa na kujua ubora wake ,km wewe unamtoto mwanaume atakuwa na uhakika kuwa Wewe sio mgumba, so ukikutana na mwanaume mwambiee tuu km ushazaa kwa kujiamini huwezi jua mengine mwachie Mungu. Single mamas sauti inatosha Au Niongeze
Hata kwenye mavazi kuna watu wanapendelea zaidi mtumba kuliko spesho, jiulize lini mitumba imekosa soko nenda karume pale, nenda Ukaone watu wanavyonunua mitumba na wakiwa wanajua kua ishatumika lakini bado Wananunua kiroho safi tuu,
Watu Wananunua nyumba na magari used na wanapenda coz yametestiwa na kujua ubora wake ,km wewe unamtoto mwanaume atakuwa na uhakika kuwa Wewe sio mgumba, so ukikutana na mwanaume mwambiee tuu km ushazaa kwa kujiamini huwezi jua mengine mwachie Mungu. Single mamas sauti inatosha Au Niongeze