Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,532
- 225,088
Tumekusikia na tutafuata ushauri wako dadaMumewe muelewa na anayejitambua, mi niliacha kazi kuja kulea familia hakuna nyota ambayo sijaona.. Dharau, michepuko ikaanza hapo hapo, mwanaume kabadilika hadi anatisha.. NAJUTAA.. Sishauli mwanamke yeyote kuacha kazi kwa sababu yoyote iwe mwanaume au familia. Kipato cha mwanamke ndo ulinzi wake
Pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app