Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,290
- 83,703
hili nalo neno aiseKwanza kabla sijafika kote huko namwambia kabisa kama ukitaka niache kazi basi rohoni kwako kuwe kweupe maana siwezi acha kusaidia wenye Shida.
Hapo nampima tu nione atasemaje,kwanza nachangamsha tu ulimi
Kuacha kazi siwezi hata nirogwe.
Sent using Jamii Forums mobile app