Mwanamke unampomkataa mtu tumia lugha nzuri

shalet

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
3,428
3,510
Habarini wakuu,

Miaka kama 10 hivi iliyopita tulikuwa tunacheza mechi ya kuagana wanaohitimu na wanaobaki, basi kuna msichana nilikua nampenda na siku hiyo ilikuwa nii lazima nijitahidi kuonana nae manake tulikuwa tunakaribia kuanza NECTA, nilimuona upande aliokuwa amekaa na wenzake nikaomba kampani kwa washikaji wanisindikize.

Kufika pale tulipiga piga stori jamaa wakawa wananiacha nibaki naye, naye akawa anaondoka ikabidi nimuite lol, jibu alilonipa ni baya kuliko majibu ya vibuti vyote nilivyowahi pata. alisema hivi UNATAKA NILAMBE MOTO UJUE NIMEKUKATAA. Nilikuwa nishamtongoza kabla ila akawa ananizungusha, jamaa walimbembeleza tuongee akagoma.

Baada ya miaka 10.
Tarehe 16 nimekuta request Fb ya huyu mwanamke na meseji juu nimechati naye mambo mengi mpaka ya kipindi kile manake ndio ilikuwa mwisho kuonana naye anadai nilikata tamaa mwenyewe mapema hata yeye alikuwa ananipenda anaomba tuwe pamoja wakuu nimemwambia kuwa hilo haliwezekani nikikumbuka nilivoaibika siku ile huyu mwanmke anadai nimpe tu ujauzito kama nikiamua kumuoa sawa nikimtelekeza sawa yeye atalea anaonyesha yuko very desparate na hapo yuko na 27 tu.

Somo kwa dada zetu unapomkataa tumia jibu zuri hakuna anayejua kesho itakuwaje na akiba haiozi.
 
acha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
 
acha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
unadhani alikuwa hajaanza kipindi hicho?
 
Utakuwa bwege unajua miaka 10 alikuwa anafanya nn piga chini endelea na life lako itakuwa aliyempenda kamzingua anakuja kwako kupoza machungu
kweli atakuwa naataka kupooza machungu nahakikisha hiyo nafasi haipati
 
Kwanza na wew ulikuwa na akili za kitoto tu, maana ungemchezea tu ukamuacha. Sasa jtathmn km una mpnda kuwa nae km humpnd muache ucmpe mimba wala kumtumia
 
Ulikua mdogo, hadi hauonekani... Pole, na yeye anahangaika sasa. Ila kama bado analipa chukua goma
mkuu ilikuwa shida sana ila nashukuru na yeye anahangaika sasa japo imechukua mda mrefu.
 
acha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
Unashangaa miaka 17, wakati mimi nilichelewa kuanza nikiwa na 14 yiaz old?
 
Angekukataa kistaarabu Leo usingemkumbuka huon Leo fasta tu umekumbka
 
Wanasema wasichomaaniasha na unakuta wanaume wenyewe hatuna muda wa kuwasoma nini wanamaanisha....
 
acha kujishaua wewe
miaka 10 nyuma ina maana alikuwa na miaka 17
sasa miaka 17 angeanzaje mapenzi ,alikuwa nahaki ya kukukataa maana huo ni ubakaji ,tena utakuwa ulikuwa muhuni kutongoza watoto
yaani anastahili pongezi sana huyo binti ningekuwa mwanaume ningemuoa
angekukubali hata sasa hivi ungekuwa nae au unaandika tu ?
Duuh polepole mamii,utamuua mleta mada.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom