lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #21
Hiyo kawaida tu.
Ni sawa na wezi, yale majambazi kukamatwa ni issue ila tule tuvibaka ndo kila siku vinapigwa na kuchomwa moto regardless kaiba big gee au kipande cha mua.
Ila haya maisha bhana, siri yake anaijua muumba. Bora huyo kaambulia mtoto no matter yupoje.
Kuna dada mmoja ye alienda kubanjuliwa akiwa chuo 2nd year, akaambulia kudungwa mimba na UKIMWI juu. So sad!!!
Kweli siri anaijua muumba!