Daaah! uumbaji wa Mungu....
Naona hajaona watu wakivaa suruali. Anaonaga visarawaleHuyo jamaa sijui kala maharage ya wapiii... wa hovyo kweli... machine kama hii kweli niache kisa imevaa suruwale 😳... mtoto katisha balaa huyu hata mang'ombe manne natoa... ili nimuweka ndani
Huyo atakuwa na msongo wa mawazo ni wa kumpuuza tu 🤕🤕Naona hajaona watu wakivaa suruali. Anaonaga visarawale
Vp kashapata mkuu mana tunatofautiana ujue na maisha ya saiv ni connection kama hivyoKuna mmoja aliwahi kukosa mume kwa sababu ya kuvaa visuruali mshenzi! Vile vinavyomchora maungo yake! Huwa anajuta hadi kesho. Aliapa kutovaa suruali tena.
Nilimshauri asijutie bahati ile bali ajitengeneze upya. Watakuja wengine tu.
sio kwamba sitamani mkuu ujueUngetuachaga tu mkuu View attachment 1222875
Napagawa sana nikikutana na watoto kama hawaUngetuachaga tu mkuu View attachment 1222875
Kuvaa suruali hapamuondolei mwanamke uanauke wake.
Umependeza sana,u r my type
Afu eti hii pisi sio “mwanamke”???
Kama hizi mvae tu, tunaoumia ni sisi ila tutazoea