UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Habari zenu humu ndani. Baada ya kushiba daku nimeamua kuja na uzi huu.
Kwa sisi wanaume tukioa kisha tukapata mwanamke ambaye hajawahi kuguswa, mwanaume anajiona fahari. Wanaume tunaona tumepata kizuri cha kupata. Na hata katika jamii inakuwa ni jambo jema.
Sasa swali ni kwa upande wa pili yaani kwa wanawake. Je ukigundua kuwa mwanaume uliyenaye hajawahi kufanya mapenzi unachukuliaje? Utafurahia Jambo hilo ama itakuwa ni kinyume chake?
Hebu njooni wadada mtupe majibu tafadhali.
Kwa sisi wanaume tukioa kisha tukapata mwanamke ambaye hajawahi kuguswa, mwanaume anajiona fahari. Wanaume tunaona tumepata kizuri cha kupata. Na hata katika jamii inakuwa ni jambo jema.
Sasa swali ni kwa upande wa pili yaani kwa wanawake. Je ukigundua kuwa mwanaume uliyenaye hajawahi kufanya mapenzi unachukuliaje? Utafurahia Jambo hilo ama itakuwa ni kinyume chake?
Hebu njooni wadada mtupe majibu tafadhali.