Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Waungwana natumaini kuwa mu wazima!
Twende kwenye mada, familia nyingi Afrika ziko kwenye mgogoro au kamgogoro, na migogoro hii husababishwa hasa na mambo ya fedha au mapenzi nje ya mahusiano(cheating).
Sasa hapa ninatoa tiba ya mgogoro unaosababishwa na mambo ya kifedha.
Kulingana na kipato chako ewe mwanaume unaweza kuitafuta fedha ambayo kwa level yenu ya maisha itaonekana ni kubwa. Ichukue mpe mkewe atunze, mwambie itunze ninà kazi nayo.
Ukimpa kama milioni 5, 4,3 au hata laki tano akutunzie moyo wake unakuwa mweupe.
Hii style ina faida zake, ikumbukwe wanawake wana forecast nzuri ya kuona jambo zuri ambalo akikushauri ufanye utapata faida kubwa.
Usiwe dictator kwenye masuala ya fedha, kuwa muwazi ingawa usiwe muwazi kupitiliza.
Twende kwenye mada, familia nyingi Afrika ziko kwenye mgogoro au kamgogoro, na migogoro hii husababishwa hasa na mambo ya fedha au mapenzi nje ya mahusiano(cheating).
Sasa hapa ninatoa tiba ya mgogoro unaosababishwa na mambo ya kifedha.
Kulingana na kipato chako ewe mwanaume unaweza kuitafuta fedha ambayo kwa level yenu ya maisha itaonekana ni kubwa. Ichukue mpe mkewe atunze, mwambie itunze ninà kazi nayo.
Ukimpa kama milioni 5, 4,3 au hata laki tano akutunzie moyo wake unakuwa mweupe.
Hii style ina faida zake, ikumbukwe wanawake wana forecast nzuri ya kuona jambo zuri ambalo akikushauri ufanye utapata faida kubwa.
Usiwe dictator kwenye masuala ya fedha, kuwa muwazi ingawa usiwe muwazi kupitiliza.