Mwanamke ukifanya yafuatayo hutaachika kwenye mahusiano

Prince Mhando

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
9,595
12,086
Mara nyingi wavulana ni vigumu sana kuzungumzia juu ya vitu wanavyopendelea kufanyiwa na wapenzi wao. Ni baadhi sana ya wavulana ambao huwaweka wazi wapenzi wao juu ya vitu wanavyo vipenda na wasivyo vipenda. Ili kumuelewa mvulana ni kitu rahisi sana maana asilimia kubwa ya wavulana ukiwajulia tu, ukajua jinsi ya kukipa raha kichwa hiki cha chini akuachi ng'ooo.
maxresdefault.jpg

Ni kitu kidogo sana kutufanya sisi wavulana tutulie kwenye mahusiano ni kiasi cha wewe msichana kuwa mbunifu kwenye suala zima la tendo la ngono {kwa wale ambao hawajaoana}. Mwanamke jitume haswa kama hujui kukatika mithiri ya feni linavyozungua jifunze maana kasumba kubwa ipo kiunoni. Usiwe kama gogo la mti maana gogo linatabia ya kutosogea wala kutikisika labda atokee kiumbe aliguse ndipo litatikisika.
0EE1894700000578-0-image-a-1_1425467649961.jpg

Usafi wa mwili nakupangilia mavazi ni kitu kikubwa na muhimu maana sisi wavulana huwa tunavutiwa sana na muonekano wa nje kabla ya masuala ya kitandani. Kaa chunguza wewe msichana ukitembea na mvulana wako barabarani akikutana na msichana mwingine aliependeza lazima tu huyo mvulana atapepesa macho kumsindikiza kwa macho huyo msichana.

Sasa ili kumkamata mpenzi wako hakikisha unavaa mavazi mazuri lakini usije ukanielewa vibaya kwamba lazima hayo mavazi yawe ya bei mbaya hapana ila unatakiwa msichana ujue kuchagua mavazi yatayoufanya mwili wako uwe wa kuvutia muda wote. Hakikisha unajisafisha kila baada ya kwenda haja ndogo maana kuna baadhi ya wavulana huwa wanashindwa kuvumilia ile harufu ya kike inayotoka huko kwenye nguo ya ndani uvunguni. Njia nzuri ni kuoga kila unapohisi jasho limekutoka kidogo.
main-qimg-c345be831e618d03a9b7327504284aac

Kuna baadhi ya watu hasa wasichana kutokana na sababu mbali mbali miili yao huzalisha kemikali nyingi hivyo usababisha kiarufu fulani hivi kisicho cha kawaida pengine ni fangasi ya ngozi hivyo hakikisha unaonana na daktari ikiwezekana ili kuondoa hilo tatizo. Maana wavulana huwa tunaathiriwa sana na harufu zisizo za kawaida. Hivyo tafuta manukato mazuri yatakayomfanya mpenzi wako kupata hewa nzuri kila awapo na wewe na ni vyema kila baada ya tendo moja la ngono mkaenda/ukaenda kuoga hii itawafanya wote wawili muwe huru hamtojibana bana maana mapenzi ni uhuru bwana. Sio upo unangonoka mara unaanza kusikia harufu sijui ya nini akili ikihama tuu hapo hamtofurahia.

period-sex.jpg

Hakikisha unamuelekeza mpenzi wako sehemu zile ukishikwa unapata msisimko wa hali ya juu. Hii itamfanya mvulana wako kuwa huru kwenye mwili wako. Vile vile usisahau kugundua sehemu ambazo mvulana wako anapenda kuguswa ili apate mshawasha wa kungonoka. Kuna baadhi ya wavulana wanapenda kunyonywa sehemu fulani hivi/ wengine kuguswa na vidole sehemu fulani fulani hakikisha unagundua hizo sehemu ata kwa kumuuliza.
MH-best-foods-penis.jpg

Usizoee kulambwa wewe tu hakikisha unamlamba mpenzi wako kuanzia masikioni hadi kwenye unyayo hadi awe kama katemwa na nyoka, mnyonye kila sehemu unayoiona inamfanya apumue kwa shida zilambe zile kokwa, nyonya sana ile bamia hakikisha unainyonya hadi aombe poo mwenyewe, ukiweza nyonya hadi mlenda utoke,tena umeze huo mlenda enh si mlenda hauna shida.
Natural-Tips-On-How-To-Increase-Sexual-Stamina.jpg

Muheshimu sana mpenzi wako maana yeye ndie rafiki wa maisha yako kumbuka yeye ndie atakae kufanya uachane na wazazi wako na yeye ndie utakaeambatana nae kuzungusha gurudumu la maisha. Hivyo heshima ni jambo litakalo fanya mahusiano yako ya dumu sana. Muheshimu yeye pamoja na jamaa zake. Maana kuna baadhi ya wasichana wamekosa sana heshima muda mwingine utakuta msichana anamkaripia mvulana mbele za watu halafu akiachwa anaanza kutafuta mchawi.
25322B0E00000578-2933362-image-a-36_1422637380293.jpg

Wavulana/wanaume huwa tunapenda sana uhuru hasa kwenye mahusiano. ni kweli una wivu sana ila usizidi kiwango kiasi cha kumkosesha uhuru mwenzio. Heshimu mawasiriano yake sio kwakuwa wewe ndio mpenzi unaejua kupenda unaanza kumiliki simu yake ili uone anawasiriana na nani hapo unakosea tena sana mpe uhuru kama ni wako hatotoka kwako hayo ni maneno ya eddy_mhando sio sheria ukipenda yafuate au changanya na yako lengo ni wewe msichana udumu kwenye mahusiano yako.
 
hahaa unaweza fanya vyote hivyo tena na zaidi na still ukaachika tena kwa kashfa na matusi.

kumpa mtu kila kitu sio guarantee kwamba hatakuchoka eti, hiyo ni nature ya mwanadamu
people tend to see what they don't have, not what they have

mimi ninachowashauri ni kuwa economic independence ndio kitu cha muhimu, muheshimu mwanaume wako lakini naye atakuheshimu endapo na kujuthamini endapo atakuona wewe sio mzigo usiyejiweza kwake
ukiwa mtegemezi sana ndio utadharaulika sana hata kama una heshima kiasi gani
 
hahaa unaweza fanya vyote hivyo tena na zaidi na still ukaachika tena kwa kashfa na matusi.

kumpa mtu kila kitu sio guarantee kwamba hatakuchoka eti, hiyo ni nature ya mwanadamu
people tend to see what they don't have, not what they have

mimi ninachowashauri wanawake wenzangu ni kuwa economic independence ndio kitu cha muhimu, muheshimu mwanaume wako lakini naye atakuheshimu endapo na kujuthamini endapo atakuona wewe sio mzigo usiyejiweza kwake
ukiwa mtegemezi sana ndio utadharaulika sana hata kama una heshima kiasi gani
yap kujimudu kifedha ni vyema ila kumbuka pesa hazinunui upendo wa dhati...je wazee wa zamani walivyokuwa wanoana walioa wasichana wanaojimudu..?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
anayekariri nani? is fact mtu asiyekupenda hakupendi tu over.
ila zipo pia mbinu za kugundua mtu asie kupenda ... ukizitumia ukagundua kuwa hakupendi mbinu za hapo juu hazitafanikiwa ila kwa yule unajua kuwa yupo serius mpe mwili na kila kitu chako maana yeye ni wako
 
yap kujimudu kifedha ni vyema ila kumbuka pesa hazinunui upendo wa dhati...je wazee wa zamani walivyokuwa wanoana walioa wasichana wanaojimudu..?
fedha haibunui upendo wa dhati ila ni kama insurance flani hivi siku ukija kutendwa unakuwa na life lako, japokuwa emotionally unakuwa umeumia lakini kwenye masuala ya kiuchumi utakuwa unadunda na utapoka haraka hayo maumivu

na kingine pia pesa inaleta heshima, administration and fear, ukiwa nayo huwezi fabyiwa upuuzi upuuzi kama mtu anayelishwa na kuvishwa kila kitu
 
ila zipo pia mbinu za kugundua mtu asie kupenda ... ukizitumia ukagundua kuwa hakupendi mbinu za hapo juu hazitafanikiwa ila kwa yule unajua kuwa yupo serius mpe mwili na kila kitu chako maana yeye ni wako

ushasema ujue yuko serious! sasa hawa wapendi wa mwendo kazi ufanye hayo mambo utajuta
 
fedha haibunui upendo wa dhati ila ni kama insurance flani hivi siku ukija kutendwa unakuwa na life lako, japokuwa emotionally unakuwa umeumia lakini kwenye masuala ya kiuchumi utakuwa unadunda na utapoka haraka hayo maumivu

na kingine pia pesa inaleta heshima, administration and fear, ukiwa nayo huwezi fabyiwa upuuzi upuuzi kama mtu anayelishwa na kuvishwa kila kitu
maadili yameshuka sana siku hizi ndio maana hayo ya kuachana yanatokea ila kama bibi yako yupo hai kamuulize kipindi anaolewa na babu yako yeye bibi alikuwa anajimudu..? utakuta bibi na babu hadi leo wanapenda na babu peke yake ndio alikuwa muhimili wa familia...elimu waliyokuwa wanafundisha unyagoni enzi hizo ilikuwa inasaidia sana wanawake wasiku hizi kwa kuikosa hiyo elimu wanajikuta hawana mioyo ya kike ya uvumilivu
 
m
ushasema ujue yuko serious! sasa hawa wapendi wa mwendo kazi ufanye hayo mambo utajuta
kwanini uwe na mpenzi wa mwendo kasi...ukimuona mtu wa hivyo ata ch*pi usimvulie...hakikisha mtu anaekuchungulia kilichopo ndani ya chupi ni yule tuu unaempenda na anaekupenda achana kabisa na wapenzi wa mwendo kasi
 
maadili yameshuka sana siku hizi ndio maana hayo ya kuachana yanatokea ila kama bibi yako yupo hai kamuulize kipindi anaolewa na babu yako yeye bibi alikuwa anajimudu..? utakuta bibi na babu hadi leo wanapenda na babu peke yake ndio alikuwa muhimili wa familia...elimu waliyokuwa wanafundisha unyagoni enzi hizo ilikuwa inasaidia sana wanawake wasiku hizi kwa kuikosa hiyo elimu wanajikuta hawana mioyo ya kike ya uvumilivu
kwa hiyo ndoa kuvunjika siku hizi ni makosa ya wanawake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom