kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Nichukuwe muda huu kuomba sorry.
Kwa wale ambao nilikuwa na towa comment ya kuwatukana pale wanapo leta malalamiko yao ya kuomba ushauri pale wanapo pitia wakati mgumu kwenye ndoa au mausiano yao
Maana nimegundua duniani akuna kiumbe ambacho ni kigumu kuongoza Kama mwanamke
Nimegundua mwanamke sio chombo dhaifu kabisa hawa watu wana akili saana
Leo mimi ndo wakuomba msamaha kwa mwanamke Tena kwa sauti ya unyonge
Kweli nime amini zamani nilikuwa na kutana na panzi ila mmm nime kutana na tembo ana ni kanyaga kweli kweli
Kwa wale ambao nilikuwa na towa comment ya kuwatukana pale wanapo leta malalamiko yao ya kuomba ushauri pale wanapo pitia wakati mgumu kwenye ndoa au mausiano yao
Maana nimegundua duniani akuna kiumbe ambacho ni kigumu kuongoza Kama mwanamke
Nimegundua mwanamke sio chombo dhaifu kabisa hawa watu wana akili saana
Leo mimi ndo wakuomba msamaha kwa mwanamke Tena kwa sauti ya unyonge
Kweli nime amini zamani nilikuwa na kutana na panzi ila mmm nime kutana na tembo ana ni kanyaga kweli kweli