Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,895
- 1,608
Katika mahusiano/Ndoa, ukimpata mwanamuke mwenye mapenzi ya kweli, mwenye huruma na kukuliwaza pale unapopatwa na mitihani mbalimbali wewe kama mwanaume, basi hapo umepata haswaa mwanamke anaekufaa katika maisha. Haijalishi una hela au huna.
Alakini mabinti wa sikuizi most of them vibuli sana na zalau juu. Na ndiomana hawadumu katika ndoa.
Alakini mabinti wa sikuizi most of them vibuli sana na zalau juu. Na ndiomana hawadumu katika ndoa.