elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Mwanamke ajulikanaye kama Asiya Bibi anashitakiwa kwa kosa la mauaji ya watu 15, huko Pakstan.
Mwanamama huyo, ambaye alilenga kumuua mmewe baada ya kulazimishwa kuolewa na mwanaume asiyempenda huku akikataliwa kuolewa na mpenzi wake aliyempenda.
Alijaribu kutoroka kutoka kwa mmewe ikashindikana ndipo akapata wazo la kumuua kwa njia ya kumwekea sumu kwenye maziwa, ila bahati ni kwamba hayo maziwa mumewe hakuyanywa bali wakayatumia kutengenezea mtindi ambao ndugu na wazazi wa mmewe waliutumia siku ya Ijumaa.
Baada ya kutumia mtindi huo, waliugua ghafla na kukimbizwa hospitali, ambapo 11 walifariki siku hiyo hiyo, wawili walifariki jumamosi.
Mpaka sasa wamekwisha kufa watu 15 kati ya 28 waliokunywa mtindi huo akiwemo mtoto wa miaka saba.
Polisi inamshikilia Asiya pamoja na shangazi yake na mpenzi wake kama washirika katika tukio hilo.
----------
A woman who allegedly tried to kill her husband by giving him poisoned milk ended up killing him and 14 members of his family, police in Pakistan have said.
Officers in Punjab province said Asiya Bibi's husband initially failed to drink the milk and it was then turned into a lassi - a South Asian yogurt drink - and served to the man's family.
Investigators allege Bibi set out to poison her husband after she was forced by her family into an arranged marriage in September.
Bibi has been charged with murder along with two others, senior police official Owais Ahmad told reporters.
The Geo News website said 15 have so far died, including Bibi's husband and a seven-year-old girl, while a further 12 are being treated in hospital after the incident in rural Alipur Tehsil.
Mr Ahmad added: "Police have arrested Asiya Bibi, a man and his aunt for being accomplices and charged them with murder."
He said the man was allegedly Bibi's lover and his aunt helped orchestrate the murder plot.
Bibi has appeared in court and denied all the allegations against her when presented to the media, Geo News reported.
Forced and under-age marriages are common in Pakistan, particularly in rural and poor regions, where women are regarded as having fewer rights.
Source: Wife's 'milk murder plot' accidentally kills 15 in Pakistan
Mwanamama huyo, ambaye alilenga kumuua mmewe baada ya kulazimishwa kuolewa na mwanaume asiyempenda huku akikataliwa kuolewa na mpenzi wake aliyempenda.
Alijaribu kutoroka kutoka kwa mmewe ikashindikana ndipo akapata wazo la kumuua kwa njia ya kumwekea sumu kwenye maziwa, ila bahati ni kwamba hayo maziwa mumewe hakuyanywa bali wakayatumia kutengenezea mtindi ambao ndugu na wazazi wa mmewe waliutumia siku ya Ijumaa.
Baada ya kutumia mtindi huo, waliugua ghafla na kukimbizwa hospitali, ambapo 11 walifariki siku hiyo hiyo, wawili walifariki jumamosi.
Mpaka sasa wamekwisha kufa watu 15 kati ya 28 waliokunywa mtindi huo akiwemo mtoto wa miaka saba.
Polisi inamshikilia Asiya pamoja na shangazi yake na mpenzi wake kama washirika katika tukio hilo.
----------
A woman who allegedly tried to kill her husband by giving him poisoned milk ended up killing him and 14 members of his family, police in Pakistan have said.
Officers in Punjab province said Asiya Bibi's husband initially failed to drink the milk and it was then turned into a lassi - a South Asian yogurt drink - and served to the man's family.
Investigators allege Bibi set out to poison her husband after she was forced by her family into an arranged marriage in September.
Bibi has been charged with murder along with two others, senior police official Owais Ahmad told reporters.
The Geo News website said 15 have so far died, including Bibi's husband and a seven-year-old girl, while a further 12 are being treated in hospital after the incident in rural Alipur Tehsil.
Mr Ahmad added: "Police have arrested Asiya Bibi, a man and his aunt for being accomplices and charged them with murder."
He said the man was allegedly Bibi's lover and his aunt helped orchestrate the murder plot.
Bibi has appeared in court and denied all the allegations against her when presented to the media, Geo News reported.
Forced and under-age marriages are common in Pakistan, particularly in rural and poor regions, where women are regarded as having fewer rights.
Source: Wife's 'milk murder plot' accidentally kills 15 in Pakistan