Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,268
Matatizo kijana mwenzako alipenda ile in deep.Mbona naona faida tupu Kijana wangu? Yaani umekula mzigo bureeee na 2.6M (yaani Faru John kama mia tano na ushee), umekula na good time hadi akina Halima wanasonya halafu Leo unalalamika nini??? Mimi ningemwambia tu kwa upole, Mzee mbona hayo matusi hayatoshi? Niongeze matusi mengine tafadhali, yaani ukiangalia value ya vitu na service ulivyopata contrary na matusi ukiyotukanwa bado unabaki na faida tupu