Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,788
- 2,688
Nakazia:
"Usipende kwenda Nyumba za wanawake utakufa kizembe"
"Usipende kwenda Nyumba za wanawake utakufa kizembe"
Teh teh teh tehBora ww ulipewa papuchi na mtaji juu, wenzio ata papuchi hatupewi na pesa tunatoa.
huu ni uzembe ungepewa sumu sasahivi marehemu ..usiende kiboya boya ukiona mambo hayaelewekiUmenichekesha sana uliposema
Akanipa juice huku usoni ana ka userious flan hv
..Angenakiliwa mbali,..Shukuru sana umetukanwa ukaambiwa uondoke maana angekuwa kauzu angefanya kinyume na maumbile bila Kilainishi sijui ungekuwa na hali gani sasa hivi
..nazani kinacho msikitisha ni kuliwa 0712 bila kilainishi si vinginevyo,..Mbona kama kuna tukio lilitokea siku hiyo ukalikumbuka ukaamua kuikatisha na story yenyewe, ninaamini kuna ka kipande hukakiweka humu, kaza moyo tuambie , jiliwaze na ule usemi wa mla vya wenzake......!!!
Mkuu labda wangeniua kwanzaJamaa yetu pole sana ebu tuweke WAP hukuliwa 0713 kweli kuwa muwaz
Poa mdada!!Hainaga ushemeji tunakulaga...
Yaani japo ni feki ID lakini huwa zinareflect kwi kwi kwi!
Back to hiyo bidada, huyo mwanamke ni mchafuzi tuu na ana tamaa za kingono na wala hata hana mapenzi na yeyote kati yenu wawili!
Hicho kibwana chake ka kitoto cha tembo anakipendea hela na wala sio kusuguliwa!
Na wewe alikuwa anakusaidia kimaisha ili umsugue kamaliza haja zake kakukaushia na atakuwa anafanya hayo kwa wanaume wengi tuu choka mbaya!
Advise: Mind your own business (tungi haikusaidii kitu)