moses musa
Senior Member
- Apr 25, 2017
- 164
- 97
Habari za usiku huu wakuu,
Kuna dada mmoja jirani yangu, binamu yangu, alipigwa na kutukanwa sana na mume wake, kiasi cha kutoludiana tena.
Leo wamerudiana, wazazi wa binti wametukanwa, siyo vizuri lakini usiku mmoja kitandani kwisha habari yake akikiri kutojaribu kumkaribisha tena, inauma sana dada zetu, haya angekuwa kwenye mahusiano na mume mwingine hamjachomana visu?
Nawasilisha tu!
Kuna dada mmoja jirani yangu, binamu yangu, alipigwa na kutukanwa sana na mume wake, kiasi cha kutoludiana tena.
Leo wamerudiana, wazazi wa binti wametukanwa, siyo vizuri lakini usiku mmoja kitandani kwisha habari yake akikiri kutojaribu kumkaribisha tena, inauma sana dada zetu, haya angekuwa kwenye mahusiano na mume mwingine hamjachomana visu?
Nawasilisha tu!