Mwanamke ni lazima apigwe na mume, “lau kidogo”…………..!

kuna siku nilikuwa kwenye health care centre moja hapa jijini, nikashuhudia Range rover sport, ya dark green, huku shemeji mtu akiendesha. Na siti ya nyuma alikaa dada mmoja mrembo, lakini cha kusikitisha, dada alichezea 'kichapo cha ukweli' mpaka hata kushuka kwenye gari, ilibidi ashushwe huku wheel chair ikimsubiri. Nikasema kuna wanaume hawana chembe ya 'aibu' anapoamua kumshushia radi ya makofi kwa kiumbe hiki? Sikufurahishwa kwa kweli.
 
nilikwishajiapiza katika maisha yangu sitakaa niunyanyue mkono wangu kwa mwanamke. na ninakumbuka wakati fulani nikiwa shuleni dada mmoja katika katika kufanya maskhara akanipiga bonge la kofi kwakuwa nilikuwa nikijisemea toka utotoni kuwa sitakaa nimpige mwanamke na kwakuwa nilikuwa nikiamini kuwa mwanamke ni kiumbe dhahifu sana kisichoweza kustahimi japo ukofi kutoka kwangu, nilijikuta nikisikitiswa sana na kitendo cha dada yule kunipiga na hata machozi yalinitoka kwa kumuonea huruma kwamba ikiwa nikiamua kupiga kwahakika ningempi lakini swali nililojiuliza je angeweza kustahimili kipigo hicho?
niliendela na nadhiri yangu ya kutokumpiga mwanammke hadi nilipoingia kwenye ndoa na kila mara mwanamke anaponiudhi uwa namwangalia na kumwona mdogo kama sisimizi na kuwa nimwangalia namwona ni dhaifu haswa ukizingati nimeoa mke mdogo mdogo yaani (portable) huwa akiniudhi sioni mahali pa kumpiga.
ila kuna siku aliniudhi kwa kuninyesha dharau ya hali ya juu kwani nilimpiga na kasuzuki kakawa ndicho cha kubebea wanaume wengine na kurudi nyumbani kwa muda anaotaka na nikimwambia hasiki siku hiyo alikuja boy friend wake mmoja hapo nyumbani na nikiwa naongea na mke wangu akaondoka kwa dharau na kuingia kwenye gari na pembeni kampakia huyo rafiki wake wa kiume na alirudi saa nne ya usiku na hakuwa akiongea na mimi nilijaribu kulala usingi haukuja kwa mawazo, na kesho yake akaondoka asubuhi nilihisi hasira sana na mwili kunitetemeka ndipo niliposema kwahakika leo nitaiondoa nadhiri yangu machoni pa bwana na nitampa kipigo cha mbwa mwizi, na nilisema kuwa ni laizima awe na alama ili kila atazamapo akumbuke kipigo hicho na kuwa mtii. NIlijikuta nikielekea mjini na kununua faru nikarudi nyumbani saa moja jioni mwanamke hajarudi na sijui yuko wapi nilihisi mwili kutetemeka kwa kiwango cha juu na kwa vile mahali tulipokuwa tunakaa tulikuwa wawili tu na majirani wako mbali nilijikuta nikitafakari kipigo atakachopokea huyo mwanamke nakahisi pengine naweza kumuu, nikajikuta nikiinyanyua simu yangu na kumpigia mama yangu mzazi nimpendaye sana na kumwomba anisaidi kumfundisha mke wangu kuwa natabia nzuri kama mama yangu. kwakuwa ilikuwa mara ya kwanza kuongea na mama yangu maneno mazito sana ambayo hakutegemea kuyasikia kutoka kwangu, na kwavile sauti yangu ilikuwa tofauti kabisa ndipo mama alipotaka nimweleze kulikoni nikamweleza mkasa mzima na kwamba namsubiri na faru na pengine kesho yake watakuwa kwenye msiba wa mke wangu kutokana na kipigo nitakachompa siku ile, sina hakika ila nafikiri mama yangu alimpigia simu na kumsihi mke wangu asirejee nyumbani siku ile kwani hali sio shwari. Asante Mungu kwamba mke wangu alienda kulala kwa wazazi wake. basi hasira zikapoa na tulikuja kukaa kikao cha famili na kumaliza tofauti zetu nasasa tunaishi kwa amani na nimeirejelezea nadhiri yangu mbele za bwana kuwa sitaunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke.
kila nikiingalia ile faru niliyoinunu huwa najiona mjinga sana nimeiifadhi kwa kumbumbuku.''
kitu kingine cha kumshukuru mungu ni kwa jinsi nilivyo na asili ya ugumu ya kuunyanyua mkono wangu kupiga hata ikiwa ni mwanamke au mwanaume. huwa ninatafakari sana na ikiwa ukiniudhi sana huwa najifanyaga mjinga na kuondoka eneo hilo na kwenda kujichanganya namambo mengine na baada ya hasira kuisha naweza kuongea na wewe kama vile hukunikosea. Namshukuru mungu huwa sihifadhi hasira kwa muda mrefu na wala sina kinyongo nikiishaambua kusamehe
Huwa najiuliza siku nikiokoka hakika nitakuwa naishi kama niko paradiso hapa duniani
 
Huu mjadala ni mzito sana kwa sababu unagusa hisia za watu...Natamani kutochangia kabisa ila kuna mambo yamenigusa sana! Hadithi ya Kitalolo ni mojawapo.

Ngoja nijaribu kutulia kwanza...nitarudi baadaye!

Babu DC
 
nilikwishajiapiza katika maisha yangu sitakaa niunyanyue mkono wangu kwa mwanamke. na ninakumbuka wakati fulani nikiwa shuleni dada mmoja katika katika kufanya maskhara akanipiga bonge la kofi kwakuwa nilikuwa nikijisemea toka utotoni kuwa sitakaa nimpige mwanamke na kwakuwa nilikuwa nikiamini kuwa mwanamke ni kiumbe dhahifu sana kisichoweza kustahimi japo ukofi kutoka kwangu, nilijikuta nikisikitiswa sana na kitendo cha dada yule kunipiga na hata machozi yalinitoka kwa kumuonea huruma kwamba ikiwa nikiamua kupiga kwahakika ningempi lakini swali nililojiuliza je angeweza kustahimili kipigo hicho?
niliendela na nadhiri yangu ya kutokumpiga mwanammke hadi nilipoingia kwenye ndoa na kila mara mwanamke anaponiudhi uwa namwangalia na kumwona mdogo kama sisimizi na kuwa nimwangalia namwona ni dhaifu haswa ukizingati nimeoa mke mdogo mdogo yaani (portable) huwa akiniudhi sioni mahali pa kumpiga.
ila kuna siku aliniudhi kwa kuninyesha dharau ya hali ya juu kwani nilimpiga na kasuzuki kakawa ndicho cha kubebea wanaume wengine na kurudi nyumbani kwa muda anaotaka na nikimwambia hasiki siku hiyo alikuja boy friend wake mmoja hapo nyumbani na nikiwa naongea na mke wangu akaondoka kwa dharau na kuingia kwenye gari na pembeni kampakia huyo rafiki wake wa kiume na alirudi saa nne ya usiku na hakuwa akiongea na mimi nilijaribu kulala usingi haukuja kwa mawazo, na kesho yake akaondoka asubuhi nilihisi hasira sana na mwili kunitetemeka ndipo niliposema kwahakika leo nitaiondoa nadhiri yangu machoni pa bwana na nitampa kipigo cha mbwa mwizi, na nilisema kuwa ni laizima awe na alama ili kila atazamapo akumbuke kipigo hicho na kuwa mtii. NIlijikuta nikielekea mjini na kununua faru nikarudi nyumbani saa moja jioni mwanamke hajarudi na sijui yuko wapi nilihisi mwili kutetemeka kwa kiwango cha juu na kwa vile mahali tulipokuwa tunakaa tulikuwa wawili tu na majirani wako mbali nilijikuta nikitafakari kipigo atakachopokea huyo mwanamke nakahisi pengine naweza kumuu, nikajikuta nikiinyanyua simu yangu na kumpigia mama yangu mzazi nimpendaye sana na kumwomba anisaidi kumfundisha mke wangu kuwa natabia nzuri kama mama yangu. kwakuwa ilikuwa mara ya kwanza kuongea na mama yangu maneno mazito sana ambayo hakutegemea kuyasikia kutoka kwangu, na kwavile sauti yangu ilikuwa tofauti kabisa ndipo mama alipotaka nimweleze kulikoni nikamweleza mkasa mzima na kwamba namsubiri na faru na pengine kesho yake watakuwa kwenye msiba wa mke wangu kutokana na kipigo nitakachompa siku ile, sina hakika ila nafikiri mama yangu alimpigia simu na kumsihi mke wangu asirejee nyumbani siku ile kwani hali sio shwari. Asante Mungu kwamba mke wangu alienda kulala kwa wazazi wake. basi hasira zikapoa na tulikuja kukaa kikao cha famili na kumaliza tofauti zetu nasasa tunaishi kwa amani na nimeirejelezea nadhiri yangu mbele za bwana kuwa sitaunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke.
kila nikiingalia ile faru niliyoinunu huwa najiona mjinga sana nimeiifadhi kwa kumbumbuku.''
kitu kingine cha kumshukuru mungu ni kwa jinsi nilivyo na asili ya ugumu ya kuunyanyua mkono wangu kupiga hata ikiwa ni mwanamke au mwanaume. huwa ninatafakari sana na ikiwa ukiniudhi sana huwa najifanyaga mjinga na kuondoka eneo hilo na kwenda kujichanganya namambo mengine na baada ya hasira kuisha naweza kuongea na wewe kama vile hukunikosea. Namshukuru mungu huwa sihifadhi hasira kwa muda mrefu na wala sina kinyongo nikiishaambua kusamehe
Huwa najiuliza siku nikiokoka hakika nitakuwa naishi kama niko paradiso hapa duniani
Pole Kitalolo, na hongera kuzi contain hizo hasira zako, mke ni kama mwanao mkubwa, marekebisho madogo ni stahili yake japo kipigo cha mbwa mwizi!.

Siungi mkono mambo ya kushitakiana kwa mama!, nashukuru sijawahi kushitaki lolote kuhusu matatizo ya ndoa zaidi ya kwa best man tena once!. Sisi huwa tunamaliza wenyewe!. Next time malizeni wenyewe sio kwa mama!.
 
Pole Kitalolo, na hongera kuzi contain hizo hasira zako, mke ni kama mwanao mkubwa, marekebisho madogo ni stahili yake japo kipigo cha mbwa mwizi!.

Siungi mkono mambo ya kushitakiana kwa mama!, nashukuru sijawahi kushitaki lolote kuhusu matatizo ya ndoa zaidi ya kwa best man tena once!. Sisi huwa tunamaliza wenyewe!. Next time malizeni wenyewe sio kwa mama!.

Watu wengie hasa mnashangaza. Yaani unaona bora mtu ampige mkewe kipigo cha mbwa mwizi lakini asiende kusema kwa mama!
 
nilikwishajiapiza katika maisha yangu sitakaa niunyanyue mkono wangu kwa mwanamke. na ninakumbuka wakati fulani nikiwa shuleni dada mmoja katika katika kufanya maskhara akanipiga bonge la kofi kwakuwa nilikuwa nikijisemea toka utotoni kuwa sitakaa nimpige mwanamke na kwakuwa nilikuwa nikiamini kuwa mwanamke ni kiumbe dhahifu sana kisichoweza kustahimi japo ukofi kutoka kwangu, nilijikuta nikisikitiswa sana na kitendo cha dada yule kunipiga na hata machozi yalinitoka kwa kumuonea huruma kwamba ikiwa nikiamua kupiga kwahakika ningempi lakini swali nililojiuliza je angeweza kustahimili kipigo hicho?
niliendela na nadhiri yangu ya kutokumpiga mwanammke hadi nilipoingia kwenye ndoa na kila mara mwanamke anaponiudhi uwa namwangalia na kumwona mdogo kama sisimizi na kuwa nimwangalia namwona ni dhaifu haswa ukizingati nimeoa mke mdogo mdogo yaani (portable) huwa akiniudhi sioni mahali pa kumpiga.
ila kuna siku aliniudhi kwa kuninyesha dharau ya hali ya juu kwani nilimpiga na kasuzuki kakawa ndicho cha kubebea wanaume wengine na kurudi nyumbani kwa muda anaotaka na nikimwambia hasiki siku hiyo alikuja boy friend wake mmoja hapo nyumbani na nikiwa naongea na mke wangu akaondoka kwa dharau na kuingia kwenye gari na pembeni kampakia huyo rafiki wake wa kiume na alirudi saa nne ya usiku na hakuwa akiongea na mimi nilijaribu kulala usingi haukuja kwa mawazo, na kesho yake akaondoka asubuhi nilihisi hasira sana na mwili kunitetemeka ndipo niliposema kwahakika leo nitaiondoa nadhiri yangu machoni pa bwana na nitampa kipigo cha mbwa mwizi, na nilisema kuwa ni laizima awe na alama ili kila atazamapo akumbuke kipigo hicho na kuwa mtii. NIlijikuta nikielekea mjini na kununua faru nikarudi nyumbani saa moja jioni mwanamke hajarudi na sijui yuko wapi nilihisi mwili kutetemeka kwa kiwango cha juu na kwa vile mahali tulipokuwa tunakaa tulikuwa wawili tu na majirani wako mbali nilijikuta nikitafakari kipigo atakachopokea huyo mwanamke nakahisi pengine naweza kumuu, nikajikuta nikiinyanyua simu yangu na kumpigia mama yangu mzazi nimpendaye sana na kumwomba anisaidi kumfundisha mke wangu kuwa natabia nzuri kama mama yangu. kwakuwa ilikuwa mara ya kwanza kuongea na mama yangu maneno mazito sana ambayo hakutegemea kuyasikia kutoka kwangu, na kwavile sauti yangu ilikuwa tofauti kabisa ndipo mama alipotaka nimweleze kulikoni nikamweleza mkasa mzima na kwamba namsubiri na faru na pengine kesho yake watakuwa kwenye msiba wa mke wangu kutokana na kipigo nitakachompa siku ile, sina hakika ila nafikiri mama yangu alimpigia simu na kumsihi mke wangu asirejee nyumbani siku ile kwani hali sio shwari. Asante Mungu kwamba mke wangu alienda kulala kwa wazazi wake. basi hasira zikapoa na tulikuja kukaa kikao cha famili na kumaliza tofauti zetu nasasa tunaishi kwa amani na nimeirejelezea nadhiri yangu mbele za bwana kuwa sitaunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke.
kila nikiingalia ile faru niliyoinunu huwa najiona mjinga sana nimeiifadhi kwa kumbumbuku.''
kitu kingine cha kumshukuru mungu ni kwa jinsi nilivyo na asili ya ugumu ya kuunyanyua mkono wangu kupiga hata ikiwa ni mwanamke au mwanaume. huwa ninatafakari sana na ikiwa ukiniudhi sana huwa najifanyaga mjinga na kuondoka eneo hilo na kwenda kujichanganya namambo mengine na baada ya hasira kuisha naweza kuongea na wewe kama vile hukunikosea. Namshukuru mungu huwa sihifadhi hasira kwa muda mrefu na wala sina kinyongo nikiishaambua kusamehe
Huwa najiuliza siku nikiokoka hakika nitakuwa naishi kama niko paradiso hapa duniani

umeona eeeh? mimi sielewi ni kwanini mwanamke akiolewa na mwanaume asiyempiga lazima awe na kiburi! hebu nyie wanawake mlioko huku fungukeni kuna nini? kupigwa hamtaki, kiburi mnataka!
 
I grew up in homes where daddy never raised his hand to mummy. And I can't say that I had first hand information of such a family amongst my friends. But that does not mean it did not happen then.

As we became the parents, many actually had adapted to the civilised western way of life by treating partners like our equals. Girlfriends and wives were no longer proscribed to the kitchen. They can sit at the table and contribute to any discussion. And some ‘more aware' parents treat their children likewise.

It is disheartening that in this day and age, some 'civilised' men can even take knives to their women. Men are supposed to be the protectors of their women. I don't completely absolve some women of the occasional slap they get.

The Bible condoles that he that hits his woman is like hurting his own body. Women, do the read the same and apply it to yourself too. In the free world that we live, instead of slapping or stabbing your partner, why not just pack your bag and take a holiday? After all, even lovers need a holiday from each other. You cant work for 10 years without taking a break.
 
Ivi mbona mmeegemea upande mmoja kuwa kila anayepigwa anaonewa?sikuwahi kumpga mpz wang lakn wakat mwngne mwanaume au mwanamke anakuwa kichocheo cha kupigwa kwa mambo anayoyafanya kupitliza tena makusudi,na mf. Wanaume weng hawana kumchapa m/ke kwa maneno meng kama wake,weng hupgwa kutokana na viburi,makusudi nk.na 2kubali individual differenc to both me and ke,si wote wapgwao huonewa,mm mpz wng amewah nipga kofi coz nilifanya jambo la kipuuzi alaf nkawa nalitetea bt nilikubali nmechangia kumfanya awake...
 
Leo nitawajua wanaume wenzangu kwa rangi zao halisi.....................LOL
 
Pamoja na kuwa imekuwa kawaida kwa wengi kudhani kuwa wanaume ndio huwa wanawapiga wanawake zao, wanaume pia ni victims wa domestic violence. Tatizo wanaume wengi wanaopigwa na wake zao wanakaa kimya kutokana na gender stereotypes zilizopo kwenye jamii yetu. Attention iko zaidi kwa wanawake wanaopigwa na waume zao. Linapokuja suala la victims of domestic violence, men are often overlooked, hata kwenye huu mjadala.

Jinsi wanawake wanavyowa-abuse waume zao haina tofauti sana na wanavyofanya wanaume. Wanaume wanaopigwa wala sio kwamba ni wadogo or physically weaker than the women who abuse them. Ni kwa vile tuu hawatumii umbo au nguvu walizonazo ku-respond. Wengine hawana mazoea ya kupiga wanawake, so wanapokea kichapo tuu bila kurespond.

Tatizo kubwa ambalo nimeliona wanaume hawatoi taarifa ya kupigwa na wake zao. Wanaogopa kuwa hawatachukuliwa seriously. Tena kwenye jamii yetu, eti mwanaume akaripoti polisi amepigwa na mkewe? Wapi na wapi. Men are too embarrassed to admit that they are being beaten by their wives. Lakini wapo ambao wanapigwa, tena kichapo cha nguvu.

Traditional gender roles ndio inayochanganya hili tatizo. Jamii yetu inaamini kuwa "mwanaume wa ukweli" must "control" his wife. So, mwanaume anakuwa embarrassed kuwa wanakubali mwenyewe kupigwa na mkewe. But just like abused women are told when they suffer physical violence, abuse is never the victim's fault. This is no less true just because the victim happens to be male.
 
Putting your hands on a woman (and anyone else) is unacceptable unless only in self-defense.
 
Putting your hands on a woman (and anyone else) is unacceptable unless only in self-defense.

Kutokana na stereotypes kwenye jamii yetu hata hiyo self-defence itatafsiriwa kama umempiga mwanamke.
 
Si sawa.

Bado nasubiri makosa yanayohalalisha mwanamke kupigwa
Wanawake mnaowazungumizia ni hawa wavaa vikamba wazi?
ni hawa waojitapa kwa kuwa na mafiga matatu?
ni hawa wenye kusema wanaolewa ili wazaetu kama kusoma wamesoma na pesa wanayo?

ni wapi hao?

ni hawa wanawake wasiojua majukumu yao kwa mumewe kama mke?

au ni hawa wanaotaka haki sawa na mumewe?

mnawazungumzia wanawake hawa wasiojua thamani yao? kw akiutembea uchi???

au nyie mnazungumzia wanawake wapi hao???
 
Wanawake mnaowazungumizia ni hawa wavaa vikamba wazi?
ni hawa waojitapa kwa kuwa na mafiga matatu?
ni hawa wenye kusema wanaolewa ili wazaetu kama kusoma wamesoma na pesa wanayo?

ni wapi hao?

ni hawa wanawake wasiojua majukumu yao kwa mumewe kama mke?

au ni hawa wanaotaka haki sawa na mumewe?

mnawazungumzia wanawake hawa wasiojua thamani yao? kw akiutembea uchi???

au nyie mnazungumzia wanawake wapi hao???

Hao hao uliowataja wewe ndio tunaowazungumzia, maana wote ni wanawake.

Njoo utupe mambo yanayohalalisha mwanamke kupigwa
 
Back
Top Bottom