Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Heeeeeh!!!! Basi inabidi uwe na utii mkubwa sana.
Ni kweli kupiga siyo issue wala muafaka wa matatizo, zipo njia nyingi mbadala za kusuluhisha ikiwemo kuachana ikibidi.
Mimi mama yangu kamwe hajawahi kupigwa na mimi nimelelewa hadi umri huu sijawahi kupigwa na naamini sio kwa sababu nilikuwa mtii sana.
Njia za kumrekebisha mtu mzima mwenye akili na ufahamu zipo nyingi sana, na kupiga si moja wapo. Kupigwa haivumiliki hata kidogo