- Thread starter
- #41
Huwa mkiwasema wanawake vibaya mnawa-include mama zenu na dada zenu.!?
haka katabia kapo sana, inapotokea mada inayojadili tabia za wadada utasikia kimbilio hilo .
Huwa mkiwasema wanawake vibaya mnawa-include mama zenu na dada zenu.!?
bora hata angekuwa bao .. Kwa umri alio nao sasa hvi angekuwa ameshapigwa nyeto tayar au angekuwa ameozea kwenye kondom...
Wanawake :- Ndiyo Mama zetu,dada,binti,shangazi,Bibi,mke,GF !!
@ligera
Mara nyingi sana watu wamekuwa wakiwasifu wanawake kwamba ni watu wapole lakini ukweli haupo hivyo.
Mwanamke ni mtu wa maamuzi ya haraka na pengine anapotaka kufanya jambo huwa hafikiri madhara yake huwa anakuja kutafakari wakati nambo yamesha haribika.
Mwanamke akiwa na hasira anakutoa roho muda wowote na anabadilika tabia muda wowote. Ukitaka kuamini embu siku moja muulize mkeo kwamba hivi nikizaa nje mtoto upo tayari kuishi naye halafu usikie majibu atakayokupa. Niliwahi kumueleza mke wangu nataka kuoa mke wa pili jibu alilonipa kwamba nisimtafutie mada kesi tafadhari , jibu ambalo mpaka leo huwa najiuliza alikusudia nini.
Mwanamke si mtu wa kumsaidia kwa sababu hawana shukrani na wepesi mno kusahau fadhira walizo tendewa. Unaweza kuwa na mke ukampa kila kitu lakini siku moja akimpata wa nje utapata tabu.
Wanawake ni wepesi sana kudanganyika hata asome vipi ni wachache mno unao weza kuwakuta na misimamo imara.
Au siku moja partner wako akiwa na mimba jaribu kumwambia mimba hii nina mashaka si yangu halafu uone response ya kikatili utakakuta katoto kenyewe kametupwa jalalani huko .
shetani anatumia silaha hatari sana iitwayo mwanamke ili kumtia matatizoni au kumwangamiza kabisa mwanaume:- cjui kama mnakumbuka eva alivyomtia majaribuni baba yetu adam.....au mmesahau mbabe samson alivyoingizwa mkenge na delilah.......jaman pamoja na kwamba hawa viumbe ni mama zetu, dada zetu na pia ni wake zetu lakin mjue mtoa mada yuko sahihi
Hivi kijana kama wanawake wana roho mbaya leo hii wewe si ungeendelea kuwa bao tu unaogelea kwenye korodani za mdingi wako...!!!
Mwanamke by nature ni mvumulivu sana hasa katika maswala ya ndoa,,,, lakini once akisema inatosha huwa inatosha kweli,,,,,,, huwa hawana point of return,,,,,,ndiyo hapo anapoonekana katili,,,,
WEWE UNA MISONGO YAKO !! vipi ujumuishe na ujumlishe "ke" WOTE ?!! Khaah hao watoto waliletwa na nani? Na hao waganga nao ni wanawake?!! (majoritz Me) Umeegemea kuti kavu au hujitambui kimaisha!!!kwani wanao tupa watoto jalalani si hao hao dada zetu au una fikiri akina nani , wanaoenda kwa waganga kutafuta dawa za kuwauwa wanaume zao si hao hao dada zako . usikalili maneno ya mitaani
Mara nyingi sana watu wamekuwa wakiwasifu wanawake kwamba ni watu wapole lakini ukweli haupo hivyo.
Mwanamke ni mtu wa maamuzi ya haraka na pengine anapotaka kufanya jambo huwa hafikiri madhara yake huwa anakuja kutafakari wakati nambo yamesha haribika.
Mwanamke akiwa na hasira anakutoa roho muda wowote na anabadilika tabia muda wowote. Ukitaka kuamini embu siku moja muulize mkeo kwamba hivi nikizaa nje mtoto upo tayari kuishi naye halafu usikie majibu atakayokupa. Niliwahi kumueleza mke wangu nataka kuoa mke wa pili jibu alilonipa kwamba nisimtafutie mada kesi tafadhari , jibu ambalo mpaka leo huwa najiuliza alikusudia nini.
Mwanamke si mtu wa kumsaidia kwa sababu hawana shukrani na wepesi mno kusahau fadhira walizo tendewa. Unaweza kuwa na mke ukampa kila kitu lakini siku moja akimpata wa nje utapata tabu.
Wanawake ni wepesi sana kudanganyika hata asome vipi ni wachache mno unao weza kuwakuta na misimamo imara.
Au siku moja partner wako akiwa na mimba jaribu kumwambia mimba hii nina mashaka si yangu halafu uone response ya kikatili utakakuta katoto kenyewe kametupwa jalalani huko .
Tungekuwa na roho mbaya sidhani kama mama yako angekulea mpaka hapo ulipofika na kuanza kuandika pumba ulizoziandika.
mnachosha na topic za kulaumu wanawake khah nyie hamjioni au, kuweni creative tafuteni topics mpya. kama tu wakatili mnatutongozea nini kama sio unafiki tu.