Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Natafuta mwanamke mwenye miaka 35 na kuendelea kwaajili ya mawasiliano ya kirafiki na kubadilishana mawazo. Mi ni mwanafunzi wa chuo, nasoma mlimani nipo mwaka wa 3. Kutokana na ugumu wa ajira uliopo mbele yangu naamini kufahamiana na watu wengi kuna faida zake. Kwa aliye tayar tuwasiliane(PM) au tumia email yangu ambayo ni; tonyhaule@hotmail.com. Busara zitumike katika uchangiaji, asanteni sana.