Mwanamke mwenye sifa zifuatazo karibu uanzishe uhusiano wenye malengo na mafanikio makubwa nami

Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha....

Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae​
Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na Upendo​
Huna Dharau kwa Mwanaume ambaye hana Kipato au unamzisi Kipato​
Mvumilivu mno na uko tayari Kushirikiana nae au Kumpambania katika Maendeleo yenu​
Huna Unafiki na una Ubinadamu mkubwa ndani ya Roho yako na Moyo wako​
Uko tayari Kupima VVU/UKIMWI zaidi ya Hospitali tatu tofauti na kila Mtu atachukua majibu ya mwenzake​
Unajua Kupika, Msafi sana na humbagui Mtu kwa sababu ya Dini yake au Kabila lake​
Siyo Mroho na Mchoyo​
Mwenye Huruma hasa pale ukiona kuna Wanadamu wengine wanahitaji msaada​
Unaweza Kumbadilisha Mwanaume Kitabia na Kumuongoza vyema kabisa​
Unaweza Kuishi Maisha yoyote yale yawe ya Shida na Raha kama yakitokea​

Kwa aliye tayari namkaribisha kuanza Mawasiliano nami kupitia Email ya muyinzitasumba@gmail.com

Ahsanteni.
Maneno mazuri sana

Ila kwa mm siungi kipengele cha Dini
Dini ndio sehemu kuu ya maisha na ubora wake unapatikana mtu akiwa na Dini,na asikubali kuchanganya Dini au Imani tofauti


Ila sifa nyingi zimenyooka
Tatizo
Kumpa mwanamke mwenye sifa zote hizo,ni kazi ya ziada
 
Namimi nataka ta moja ila siyo kwa sifa hizo. Mimi awe mcha Mungu tu
Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha....

Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae​
Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na Upendo​
Huna Dharau kwa Mwanaume ambaye hana Kipato au unamzisi Kipato​
Mvumilivu mno na uko tayari Kushirikiana nae au Kumpambania katika Maendeleo yenu​
Huna Unafiki na una Ubinadamu mkubwa ndani ya Roho yako na Moyo wako​
Uko tayari Kupima VVU/UKIMWI zaidi ya Hospitali tatu tofauti na kila Mtu atachukua majibu ya mwenzake​
Unajua Kupika, Msafi sana na humbagui Mtu kwa sababu ya Dini yake au Kabila lake​
Siyo Mroho na Mchoyo​
Mwenye Huruma hasa pale ukiona kuna Wanadamu wengine wanahitaji msaada​
Unaweza Kumbadilisha Mwanaume Kitabia na Kumuongoza vyema kabisa​
Unaweza Kuishi Maisha yoyote yale yawe ya Shida na Raha kama yakitokea​

Kwa aliye tayari namkaribisha kuanza Mawasiliano nami kupitia Email ya muyinzitasumba@gmail.com

Ahsanteni.
 
Namimi nataka mmoja ila siyo kwa sifa hizo. Mimi awe mcha Mungu tu
Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha....

Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae​
Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na Upendo​
Huna Dharau kwa Mwanaume ambaye hana Kipato au unamzisi Kipato​
Mvumilivu mno na uko tayari Kushirikiana nae au Kumpambania katika Maendeleo yenu​
Huna Unafiki na una Ubinadamu mkubwa ndani ya Roho yako na Moyo wako​
Uko tayari Kupima VVU/UKIMWI zaidi ya Hospitali tatu tofauti na kila Mtu atachukua majibu ya mwenzake​
Unajua Kupika, Msafi sana na humbagui Mtu kwa sababu ya Dini yake au Kabila lake​
Siyo Mroho na Mchoyo​
Mwenye Huruma hasa pale ukiona kuna Wanadamu wengine wanahitaji msaada​
Unaweza Kumbadilisha Mwanaume Kitabia na Kumuongoza vyema kabisa​
Unaweza Kuishi Maisha yoyote yale yawe ya Shida na Raha kama yakitokea​

Kwa aliye tayari namkaribisha kuanza Mawasiliano nami kupitia Email ya muyinzitasumba@gmail.com

Ahsanteni.
 
Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha....

Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae​
Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na Upendo​
Huna Dharau kwa Mwanaume ambaye hana Kipato au unamzisi Kipato​
Mvumilivu mno na uko tayari Kushirikiana nae au Kumpambania katika Maendeleo yenu​
Huna Unafiki na una Ubinadamu mkubwa ndani ya Roho yako na Moyo wako​
Uko tayari Kupima VVU/UKIMWI zaidi ya Hospitali tatu tofauti na kila Mtu atachukua majibu ya mwenzake​
Unajua Kupika, Msafi sana na humbagui Mtu kwa sababu ya Dini yake au Kabila lake​
Siyo Mroho na Mchoyo​
Mwenye Huruma hasa pale ukiona kuna Wanadamu wengine wanahitaji msaada​
Unaweza Kumbadilisha Mwanaume Kitabia na Kumuongoza vyema kabisa​
Unaweza Kuishi Maisha yoyote yale yawe ya Shida na Raha kama yakitokea​

Kwa aliye tayari namkaribisha kuanza Mawasiliano nami kupitia Email ya muyinzitasumba@gmail.com

Ahsanteni.


Aisee...ukimpata huku JF basi!!!
 
Maneno mazuri sana

Ila kwa mm siungi kipengele cha Dini
Dini ndio sehemu kuu ya maisha na ubora wake unapatikana mtu akiwa na Dini,na asikubali kuchanganya Dini au Imani tofauti


Ila sifa nyingi zimenyooka
Tatizo
Kumpa mwanamke mwenye sifa zote hizo,ni kazi ya ziada
Umri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom